Isakhamisi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 360
- 414
Hizo zilikuwa zama za udikteta wa mwendazake siyo zama hizi.Mifano ni mingi tu ya akina Assad, Slaa Jerry, askofu Gwajima nk...nk na sasa wako kimya kabisa.
Waswahili husema Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mzee Ulimwengu mwangukie tu Spika Ndugai ili yaishe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Pia soma > Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo
cc: Pascal Mayalla