Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Taratibu Mungu atatusadia
Change is coming
Change is coming
Kiburi chao cha kuua ni vile hakuna anaewajibishwa ama wajibika pale police wanapofanya uzembe kutokana na kiburi na jeuri yao.Jenerali
They know they can shoot to kill and the story ends there.
Polisi wenyewe hawajui hata haki zao za msingi wakiwa kama ni waajiriwa wa serikali, hizo haki za binadamu watazijuaje?
Wala c kazi ni kuongeza suffix ni poliCCM!