Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 272
Bingwa, hakuna popote katika hoja yangu nilipogusia habari ya msaada!
Sio wewe, kuna mchangiaji mmoja hapo juu ndio katoa hiyo hoja ya kuwa jamaa hawatusaidii teh teh teh....kweli nchi hii kiboko, RAHISI mpaka wananchi wake ni maomba omba.