NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,025
- 688
Nimekuwa nikifuatilia na kusoma makala za Generali Ulimwengu, amekuwa mtu wa kuponda kila kitu kinachofanywa na Rais Kikwete na sasa Rais Magufuli.
Huwa simuelewi kabisa, wakati Lowassa akiwa bado yupo CCM alikuwa anamsifu na kumpigia kampeni kwa makala zake zinazonesha kuwa Lowassa ni msafi kuliko Magufuli hadi nabaki najiuliza huyu babu yangu wa hiari Ulimwengu ana akili kweli!!
Au ndio kile wasemalo watu Ulimwengu amekosa fursa Ikulu kama alivyopata Menzie Salva Rweyemamu kwenye Utawala wa Kikwete?
Huwa simuelewi kabisa, wakati Lowassa akiwa bado yupo CCM alikuwa anamsifu na kumpigia kampeni kwa makala zake zinazonesha kuwa Lowassa ni msafi kuliko Magufuli hadi nabaki najiuliza huyu babu yangu wa hiari Ulimwengu ana akili kweli!!
Au ndio kile wasemalo watu Ulimwengu amekosa fursa Ikulu kama alivyopata Menzie Salva Rweyemamu kwenye Utawala wa Kikwete?