Jembe ni Jembe na kundi lako jifunzeni kupokea changamoto

- Sijawahi kuomba cheo kwa yoyote JK ni rafiki yangu wa karibu sana ningetaka cheo ningemlilia niliporudi angenipa, unataka nikawe DC Tandahimba? hunipendi sana ndugu nimeamini, sasa kelele zako zote miaka 30 ya Chadema mbona hawakupi ubunge viti maalum tu? hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
Eti JK rafiki yangu my ass!! Yani wewe kila mtu rafiki yako, kama ungekuwa na utu japo chembe tu kwa JK ungemdhalilisha kiasi kile hapa JF? Au nikufukulie makaburi yako hapa pamoja na ule utapeli wako wa ajira za majuu?
 
Eti JK rafiki yangu my ass!! Yani wewe kila mtu rafiki yako, kama ungekuwa na utu japo chembe tu kwa JK ungemdhalilisha kiasi kile hapa JF? Au nikufukulie makaburi yako hapa pamoja na ule utapeli wako wa ajira za majuu?

- Hakuna point wala hoja, kwa heri!

le Mutuz Superbrand
 
Alaaa naona umekuja kubwa lao mana nilimtaja jembe sasa umetokeza ww pole sana William matako makubwa

- Ukiona hivi huna makalio, basi wewe utakua sio binadam maana wote tuna makalio au wewe huna? Sasa unakalia nini? hahahahaha sema kitu ambacho huna weka na evidence ndio utaonekana una akili, weka picha yako hapa bila makalio tuone hahahahah

le Mutuz Superbrand
 
Sikuangalia hilo shindano lakini wamekosea sana.. Miss Tanzania ni shindano lenye Tija sana nchini likitumiwa vizuri... Kupotea kwake kwa miaka kadhaa kumepotezea watu wengi sana fursa..

Dada yetu kajikongoja kulirudisha bado kuna watu wanapinga juhudi zake bila sababu za msingi..

Bongo kweli nyoso
-

Dada akili zero, muandaaji wa Miss Tanzania unagombanaje na wakala wako kwenye Public na Brand ni yako mwenyewe unadhani kuna mdhamini anayetaka kuwekeza kwenye ujinga kama huo? hahahahahahah

le Mutuz Superbrand
 
- Waliyataka wenyewe kutupa mawe kwenye nyumba ya kioo, walikimbilia kwenye Instagram kuwadhalilisha watayarishaji wa Miss Lake Zone kwamba gari lao bovu. Na wao wamerudia makosa yale yale ya kutoa gari bovu sasa ulitaka nifanye nini niwashangilie? hahahaha dada kachemka uliona wapi Miss Tanzania imejaa Media kuliko wateja? hahahaha uliona wapi Miss Tanzania inafanyikia kwenye ukumbi wa mikutano ya Taifa? hahahahaha uliona wapi Miss Tanzania inafanyika bila pombe? hahahahaha msitafute pa kufia tatizo ni agenda zenu za kutafuta vyeo vya siasa kwa kutumia Miss Tanzania baada ya kuwa upande wa Lowassa maisha yenu yote, sasa mnadhani mkifanyia mahsindano ya Miss Tanzania kwenye Nyerere Conference mtatusahaulisha, record zipo mlivyokuwa mnamtukana Rais wa sasa kwenye uchaguzi uliopita.

- Poleni sana mambo ya mitandao hamuyajui mkajifanya kuwachafua Miss Lake Zone kwenye mitandao yaliyoakuta ndio matokeo yake kwenye maisha "TUNAVUNA TULICHOPANDA" hahahahahaha! Sasa kaeni chini mjipange tena jiulizeni mmekosea wapi? Mimi sio tatizo lenu tatizo ni nyinyi wenyewe na agenda zenu za kitoto!

le Mutuz Superbrand
Siasa na mamiss yamekujaje wewe kweli kichwa mma
 
Bisha nikuthibitishie hapa utapeli wako wa ajira za majuu, ulitaka kuwaibia Watanzania hawa maskini waliojaa stress za kukosa kazi tukakukemea ukaufyata.

Pia ninao ushahidi thabiti upo hapahapa JF ukimtukana na kumdhalilisha mzee Kikwete. Bisha nikuvue nguo hapahapa.

- Umeanza haya maneno toka ninaishi USA nimerudi bongo unahangaika tu huna kazi wewe? Chadema mbona hawakupi hata ukatibu kata fala wewe! Achana na mimi huniwezi umelia sana na mimi lakini ndio kwanza ninaweka record ya uuzaji wa Vitabu Tanzania, wewe endelea na udaku udaku wenzako tunapiga kazi

le Mutuz Superbrand
 
Siasa na mamiss yamekujaje wewe kweli kichwa mma

- Dada alikua kambi ya Lowassa kamtukana sana Rais wa sasa kwenye kampeni mwaka juzi, sasa akadhani akifanyia Nyerere Conference anaweza kumfanya Rais aje, anadhani Rais huwa hasomi mitandao hahahahahaa kapiga chini!

le Mutuz Superbrand
 
- Umeanza haya maneno toka ninaishi USA nimerudi bongo unahangaika tu huna kazi wewe? Chadema mbona hawakupi hata ukatibu kata fala wewe! Achana na mimi huniwezi umelia sana na mimi lakini ndio kwanza ninaweka record ya uuzaji wa Vitabu Tanzania, wewe endelea na udaku udaku wenzako tunapiga kazi

le Mutuz Superbrand
Ni Mtanzania yupi wa kununuwa kitabu chako ushuzi mtupu?

Kwanza Watanzania na vitabu wapi na wapi?
 
-

Dada akili zero, muandaaji wa Miss Tanzania unagombanaje na wakala wako kwenye Public na Brand ni yako mwenyewe unadhani kuna mdhamini anayetaka kuwekeza kwenye ujinga kama huo? hahahahahahah

le Mutuz Superbrand
Ki ukweli pale alichemka sana,huwezi gombana na wakala wako hadharani unawatisha wadhamini
 
Back
Top Bottom