Wgr30
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,770
- 2,375
hahaaaha!! mkuu umejibu hivo kwa kuwa unajua kabisa jamaa hawezi kutia mguu anga hizi!!!Me nitajitoa jf
hahaaaha!! mkuu umejibu hivo kwa kuwa unajua kabisa jamaa hawezi kutia mguu anga hizi!!!Me nitajitoa jf
itakavyokuwa mkuu Dr ameondoka na chadema yake saizi yamebaki masalia na wapiga dili tuKumbe Dr. Atakuja na Chama Chake, watajiunga na Lipumba au atakomaa mwenyewe??
Nassary wa sasa siyo yule wa enzi zilewakati mheshimiwa waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la monduli edward Ngonyai lowassa akiendelea na ziara zake jimboni kwake monduli leo , amemwagia sifa za kutosha raisi jakaya mrisho kikwete kwa kukamilisha ilani ya ccm kikamilifu katika jimbo hilo,wakati huo huo akiwa katika kata ya makuyuni pia ameipongeza kamati ya ulinzi na usalama kwa kumthibiti kikamilifu dogo janja mbunge wa arumeru mashariki kipindi cha kampenzi zilizomalizika katani hapo juni mwaka huu..View attachment 121667
Ilibaki kidogo tuHii nchi bhana eti huyu nae anautaka uprezidaa!