MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Hapana. Nilikata shauri na kutambua ukweli uko wapi. Sasa niko sehemu sahihi.Aiseeeh kumbe wewe nae ulisombwa na mafuriko.
Hapana. Nilikata shauri na kutambua ukweli uko wapi. Sasa niko sehemu sahihi.Aiseeeh kumbe wewe nae ulisombwa na mafuriko.
Ha ha ha.............na kura ukampigia,na mikono ukazungusha kwa hiari yako....ukamwita raisi wa moyo.....jinga kabisa.Hii nchi bhana eti huyu nae anautaka uprezidaa!
Ehee na kura ukampigia?Hakika takataka kama hili jambazi eti linategea kuwa Rais wa nchi! Sifa zote mbaya na chafu zina yeye. Linashangilia mbunge mwenzake kupigwa pasipo kosa, aibu yako mamvi
kumbe wanachadema ni misukule?bora niwe shabiki wa lowassa kuliko kuwa msukule wa chadema.
Kipindi hiki kabla hujapenyezewa rupia,kweli njaa haina baunsa.hata makanisa yamemchoka .
Lema kaacha wizi wa magari?jizi la magari lililokuwa linaingia front lenyewe limekuwa mbunge. sembuse lowassa?
AibuHapana. Nilikata shauri na kutambua ukweli uko wapi. Sasa niko sehemu sahihi.
Na misikiti pia!hata makanisa yamemchoka .
Tatizo kitongeHapana. Nilikata shauri na kutambua ukweli uko wapi. Sasa niko sehemu sahihi.
haaa kumbe ulikuwa CCM!bora niwe shabiki wa lowassa kuliko kuwa msukule wa chadema.
hahahaha, JF bwana! yaani nyuzi zikifukunyuliwa zilipo halafu ukilinganisha na comments wanazotoa watu baada ya EDO kuingia CDM hadi ninacheka. kumbukumbu nzuri sana hii. Yaani leo ndio nimejua kumbe MUSSA ALLAN alikuwa CCM hahahaahahHuu uzi nimeupendaaaa
mkuu bado hili jina liko huko kweli??huyu mwizi naye anapata watu wa kumshabikia?Haki ya Mungu njaa mbaya.
- Lami ulideki apiteHii nchi bhana eti huyu nae anautaka uprezidaa!
Mkuu namimi sikujua kumbe ukiwa Chadema ni msukule, huyu Msalani mtata kweli japo na yeye sasa ni chadema.hahahaha, JF bwana! yaani nyuzi zikifukunyuliwa zilipo halafu ukilinganisha na comments wanazotoa watu baada ya EDO kuingia CDM hadi ninacheka. kumbukumbu nzuri sana hii. Yaani leo ndio nimejua kumbe MUSSA ALLAN alikuwa CCM hahahaahah
watu wa humu bwana sasa hivi si anaitwa waziri mkuu mstaafu!!!! sijui sasa hivi ni kiwango gani sasa cha unafiki.kumuita fisadi lowasa waziri mkuu mstafu ni kiwango cha juu kabisa cha utaahira.
haahahhahhaha, Ila humu huwa wakifukua nyuzi za zamani ndio unawajua watu na misimamo yao ya kuyumbayumba.Mkuu namimi sikujua kumbe ukiwa Chadema ni msukule, huyu Msalani mtata kweli japo na yeye sasa ni chadema.
Hizi nyongo natamani mje tena mzitapike hapa.Ccm sikuizi haina welekeo kila mtu anajilopokea analojiskia, lowassa kama kweli umeongea hii kauli ikanushe haraka sana make itakuchafua zaidi ya ulivokamatwa ukiwaibia watanzania kupitia rich monduli
Ndio maana siku hizi wasemaji wa Chadema akina Makene wanaogopa kuja JF kwani walimtukana sana ELhaahahhahhaha, Ila humu huwa wakifukua nyuzi za zamani ndio unawajua watu na misimamo yao ya kuyumbayumba.