Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Dah nyie WATU ni wakuonea huruma kwa kweli Kwa hiyo Tundu Lissu akipewa NCHI Tanzania itakuwa Kama ulaya ndania ya 5years?.BINADAMU YOYOTE ANAANGALIA UDHAIFU TU HUWA NI WA KUOGOPA SANA
Unafikiri Ndege mlizo nunua hizo Pesa mngezielekeza kwenye Maisha ya Watu (walio wengi) ,tungejenga Vivuko (Madaraja) mangapi.?.Kwenye Afya je ?