Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Jela miaka mitatu kwa kupiga kura mara mbili Send to a friend Monday, 01 November 2010 17:41 0diggsdigg
Suzy Butondo, Shinyanga
MAHAKAMA ya wilaya ya Maswa imemuhukumu kifungo cha miaka mitatu mkazi wa kata ya Ipililo wilaya Maswa kwa hatia ya kupiga kura mara mbili katika uchaguzi mkuu jana.
Hakimu Thomas Mtani amesema ameamua kuchukua kuchukua hatua hiyo baada ya utetezi wa mshtakiwa huyo na kumkuta na hatia anastahili adhabu hiyo ili iwe fundisho kwa watu wenye tabia kama hiyo.
Kutokana na utetezi kuwa hajawahi kushtakiwa na pia mahakama kumuon kuwa ni mtu mzima anayetembua kuwa ni kosa kupiga kura mara mbili, mahakama imeamua kumpa adhabu bila faini ili iwe fundisho asirudie tena
Source Mwananchi.co.tz
Suzy Butondo, Shinyanga
MAHAKAMA ya wilaya ya Maswa imemuhukumu kifungo cha miaka mitatu mkazi wa kata ya Ipililo wilaya Maswa kwa hatia ya kupiga kura mara mbili katika uchaguzi mkuu jana.
Hakimu Thomas Mtani amesema ameamua kuchukua kuchukua hatua hiyo baada ya utetezi wa mshtakiwa huyo na kumkuta na hatia anastahili adhabu hiyo ili iwe fundisho kwa watu wenye tabia kama hiyo.
Kutokana na utetezi kuwa hajawahi kushtakiwa na pia mahakama kumuon kuwa ni mtu mzima anayetembua kuwa ni kosa kupiga kura mara mbili, mahakama imeamua kumpa adhabu bila faini ili iwe fundisho asirudie tena
Source Mwananchi.co.tz