aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 4,108
- 11,826
Kwanini ukimbilie kusema kanasa?Mwaka 2012 nilikutana na dogo flani nilimuacha shule kitambo tulikumbukana sababu nilisoma darasa moja na kakayake, dogo alikua vizuri na alinichana live anauza ‘poda’, “bro kama unaweza nikupe mchongo” nikamuambia nipe namba nitakuchek, akaniambia namba sikupi ila siku nyingine nitakuja tuongee. Sikumuona tena, najua atakua ameshanasa.