Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Mahakama ya Wilaya ya Bagamoyo, imemuhukumu kifungo cha miaka 20jela au faini ya Tsh Milioni 20, Hamis Halfani Juma(25) mkazi wa Tanga Mjini baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kusafirisha wahamiaji haramu.
Aidha katika mahakama hiyo wahamiaji haramu 199 kutoka Ethiopia wamehukumiwa vifungo vya miaka miwili hadi mitatu jela au faini ya Milioni Moja kila mmoja kwa kosa la kuingia nchini bila kufuata utaratibu.
Aidha Thomas Maduma(50) anatuhumiwa kutumia pikipiki yake November 12 kusafirishwa wahamiaji haramu kutoka Tanga hadi Chalinze ambapo shauri lake uchunguzi unaendelea.
Aidha katika mahakama hiyo wahamiaji haramu 199 kutoka Ethiopia wamehukumiwa vifungo vya miaka miwili hadi mitatu jela au faini ya Milioni Moja kila mmoja kwa kosa la kuingia nchini bila kufuata utaratibu.
Aidha Thomas Maduma(50) anatuhumiwa kutumia pikipiki yake November 12 kusafirishwa wahamiaji haramu kutoka Tanga hadi Chalinze ambapo shauri lake uchunguzi unaendelea.