Jehanamu inaniita, sikujua kumbe amezaliwa nao

Ntandaba

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
922
1,465
Ndugu zangu,

Leo sina furaha kabisa,sijui nikaanze tu dozi kwa sababu kwa asilimia tisi na tisa ninauhakika mwenzenu taabani.

Jana sijatumia kinga ila baada ya mechi alinieleza aliambukizwa toka akiwa tumboni mwa mama yake na pia anatumia dozi ila kwakuwa ananipenda aliamua kunificha.

Kwa kweli sijui nifanye je,ushauri wenu wakuu pia pastor masumbuko naomba busara zako za kiroho kwa haya yaliyonisibu.
 
Nenda hospital waeleze wasiwasi wako utapimwa ukikutwa huna maambukizi na utapewa PEP, kwa asilimia kubwa hii kinga itakuzuia usipate maambukizi. Lazima iwe ndani ya masaa 72 toka uwe exposed to HIV, huna haja ya kupanic
 
Nimependa hapo alikupenda ndio maana alikuficha. Hatari sana.
Vipi elezea ulivyopiga show maana show nyingine unaweza usipate maambukizi lakini kama ulisimamia kucha na kupiga show za kibabe nenda tu hospitali kaseme ulibakwa na mwanamke unahisi ana maambukizi.
 
mkuu kwanza ww ni mwanaume wa Dar? kama wa Dar usiwe na wasiwas maana shoo zenu huwa madem zenu wanasema hamna kitu pia usifikir kila ukitomba unaupata ukimwi mkuu usiwe na hofu wala kupanic ukimwi siku hizi hautishi ni ugonjwa wa kishujaa
 
Ndugu zangu,

Leo sina furaha kabisa,sijui nikaanze tu dozi kwa sababu kwa asilimia tisi na tisa ninauhakika mwenzenu taabani.

Jana sijatumia kinga ila baada ya mechi alinieleza aliambukizwa toka akiwa tumboni mwa mama yake na pia anatumia dozi ila kwakuwa ananipenda aliamua kunificha.

Kwa kweli sijui nifanye je,ushauri wenu wakuu pia pastor masumbuko naomba busara zako za kiroho kwa haya yaliyonisibu.
Vijana wengi huona papuchi ni tamuu sana. Ila kuna wakati papuchi huwa hainaga radha kabisa inakuwa km unatafuna majani mchongoma.
Huwa mnasemaga ukitumia condom inakuwaga haina radha. Ndio matokeo yake haya.
Hapo kijana wangu huenda umeathirika au haujaathirika. Sbb kuna baadhi ya makundi ya damu huwa si rahic kupokea vimelea vya ukimwi,
subir miez kadhaa ukapime ila ukiwa hauna achana na papuch kbs. Au tafuta 1 mkapime then uwe unakula kwa roho safi
 
mkuu kwanza ww ni mwanaume wa Dar? kama wa Dar usiwe na wasiwas maana shoo zenu huwa madem zenu wanasema hamna kitu pia usifikir kila ukitomba unaupata ukimwi mkuu usiwe na hofu wala kupanic ukimwi siku hizi hautishi ni ugonjwa wa kishujaa
ha ha ha,mkuu unatokea simiyu nini.,

maana naona unaongea kwa kujiamini sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom