jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Katika muendelezo wake wa kuleta chaos Afrika kwa manufaa yake na ya USA ndugu Jeffrey Smith amewatukana viongozi wa AU waliokuwa wanabadilishana uongozi wa AU huko Addis Ababa.
Nitashangaa sana kuona AU inamkalia kimya huyu muhuni anayeshiba kwa kuleta migogoro Afrika.
Nitashangaa sana kuona AU inamkalia kimya huyu muhuni anayeshiba kwa kuleta migogoro Afrika.