Jeffrey Sachs; Common Wealth

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
Inawezekana wengine mmeshaisoma hii essay ilipotoka miezi kadhaa au kusoma kitabu cha huyu mkongwe wa Uchumi.

Si vibaya sisi kama Jamii na Taifa tukipitia yaliyoandikwa na kujiuliza tupo wapi katika maneno haya mazito na hasa ile Millenium Development Challenge?

How can we adopt the methods and thinking to tailor them to our environment? Can't we learn and use his wisdom to our advantage and our environment (Taifa Letu)?

Can we become the force to challenge the powers and demand these changes that will bring us efficient energy, sustainable economy, accountability and raise our income levels independent of our government and set an example to be followed?

Napenda kumnukuu Jeffrey Sachs

Common Wealth

By Jeffrey D. Sachs

The 21st century will overturn many of our basic assumptions about economic life. The 20th century saw the end of European dominance of global politics and economics. The 21st century will see the end of American dominance too, as new powers, including China, India and Brazil, continue to grow and make their voices heard on the world stage. Yet the century's changes will be even deeper than a rebalancing of economics and geopolitics. The challenges of sustainable development-protecting the environment, stabilizing the world's population, narrowing the gaps of rich and poor and ending extreme poverty-will render passé the very idea of competing nation-states that scramble for markets, power and resources.
The defining challenge of the 21st century will be to face the reality that humanity shares a common fate on a crowded planet. We have reached the beginning of the century with 6.6 billion people living in an interconnected global economy producing an astounding $60 trillion of output each year. Human beings fill every ecological niche on the planet, from the icy tundra to the tropical rain forests to the deserts. In some locations, societies have outstripped the carrying capacity of the land, resulting in chronic hunger, environmental degradation and a large-scale exodus of desperate populations. We are, in short, in one another's faces as never before, crowded into an interconnected society of global trade, migration, ideas and, yes, risk of pandemic diseases, terrorism, refugee movements and conflict.
We also face a momentous choice. Continue on our current course, and the world is likely to experience growing conflicts between haves and have-nots, intensifying environmental catastrophes and downturns in living standards caused by interlocking crises of energy, water, food and violent conflict. Yet for a small annual investment of world income, undertaken cooperatively across the world, our generation can harness new technologies for clean energy, reliable food supplies, disease control and the end of extreme poverty.
That's why the idea that has the greatest potential to change the world is simply this: by overcoming cynicism, ending our misguided view of the world as an enduring struggle of "us" vs. "them" and instead seeking global solutions, we actually have the power to save the world for all, today and in the future. Whether we end up fighting one another or whether we work together to confront common threats-our fate, our common wealth, is in our hands.
To make the right choice, we must understand four earth-changing trends unprecedented in human history:
First, the spread of modern economic growth means that the world on average is rapidly getting richer in terms of incomes per person. Moreover, the gap in average income per person between the rich world, centered in the North Atlantic (that is, Europe and the U.S.), and much of the developing world, especially Asia, is narrowing fast. With well over half the world's population, fast-growing Asia will also become the center of gravity of the world economy.
Second, the world's population will continue to rise, thereby amplifying the overall growth of the global economy. Not only are we each producing more output on average, but there will be many more of us by midcentury. The scale of the world's economic production by midcentury is therefore likely to be several times that of today.
Third, our bulging population and voracious use of the earth's resources are leading to unprecedented multiple environmental crises. Never before has the magnitude of human economic activity been large enough to change fundamental natural processes at the global scale, including the climate itself. Humanity has also filled the world's ecological niches; there is no place to run.
Fourth, while many of the poor are making progress, many of the very poorest are stuck at the bottom. Nearly 10 million children die each year because their families, communities and nations are too poor to sustain them. The instability of impoverished and water-stressed countries has ignited a swath of violence across the Horn of Africa, the Middle East and Central Asia. What we call violent fundamentalism should be seen for what it really is: poverty, hunger, water scarcity and despair.
These great challenges have not entirely escaped worldwide notice. In the past 20 years, world leaders on occasion have groped for ways to cope with them. In fact, they've achieved some important successes, and with considerable public support, which can provide a foothold for a sustainable future. We have adopted a global treaty for climate change; we have pledged to protect biodiversity; we are committed globally to fighting the encroachment of deserts in today's conflict-ridden dry lands of Africa, the Middle East and Asia. And the world has adopted the Millennium Development Goals to cut extreme poverty, hunger and disease by 2015. The challenge is to turn those fragile and unfulfilled global commitments into real solutions.

Global Goals

When it comes to problem-solving on a global scale, we remain weighed down by cynicism, defeatism and outdated institutions. A world of untrammeled market forces and competing nation-states offers no automatic solutions to these challenges. The key will lie in developing new sustainable technologies and ensuring that they rapidly reach all those who need them. If the trillions of dollars that the U.S. is squandering in Iraq was instead being invested in clean energy, disease control and new, ecologically sound ways of growing food, we wouldn't be facing the cusp of a rapidly weakening dollar, soaring food and energy prices and the threats of much worse to come.
Here are four bold but achievable goals for the U.S. and the rest of the world: - Sustainable systems of energy, land and resource use that avert the most dangerous trends of climate change, species extinction and destruction of ecosystems
- Stabilization of the world population at 8 billion or below by 2050, through a voluntary reduction of fertility rates, rather than the current trajectory of more than 9 billion by midcentury
- The end of extreme poverty by 2025, and improved economic security within the rich countries as well
- A new approach to global problem-solving based on cooperation among nations and the dynamism and creativity of the nongovernmental sector.
What will it take to attain these goals? The greatest successes in global cooperation combine four elements: a clear objective, an effective technology, a clear implementation strategy and a source of financing.
Smallpox eradication, for example, started with a clear objective (the eradication of the disease) and an effective vaccine. It built on a clear implementation strategy, in which smallpox vaccines were given for free on a mass basis, and local outbreaks were quickly isolated through careful surveillance and response. The effort was funded on a sustained basis by several donor governments, including the U.S.'s. Similarly, the Green Revolution in Asia, which lifted China and India out of chronic hunger, built on a clear objective (raising food yields), an effective technology (a combination of high-yield seeds, fertilizer and irrigation), a clear implementation strategy (mass distribution of the input package at below market cost) and large-scale funding (from the Ford and Rockefeller foundations and the U.S. government, in addition to local financing).
Other examples abound of measurable progress against once daunting challenges: the rapid, if incomplete, expansion of primary schooling and literacy around the world; the systematic control of many killer diseases, including guinea worm disease, leprosy and African river blindness; and the voluntary decline of high fertility rates through access to family planning in almost all parts of the world, with sub-Saharan Africa the last remaining region awaiting a "demographic transition."
We live in a time of cynicism about achieving global public goals, yet whenever we have made the effort to mobilize our powerful technologies, we have succeeded. Measles deaths in Africa are down more than 90% in the past seven years, at a time when many people mistakenly believe that nothing can be accomplished in large parts of Africa. Polio is nearly eradicated. Food production is soaring in Ethiopia and Malawi because modern farming techniques have been brought to peasant communities. Children have filled the schools wherever school meal programs are introduced and school fees are dropped. There is no shortage of examples of how we can attain our goals, only a shortage of will and stamina so far to carry these successes to scale, and to other vital arenas.
Our generation's great environmental challenges can be met with similar resolve and technological focus. Climate change threatens our food supplies, coastlines, health and the survival of countless species. Yet powerful technological solutions are within reach. Coal-fired power plants can capture and store the carbon dioxide that they produce, rather than releasing the carbon dioxide into the atmosphere.
Plug-in hybrid automobiles, nearly ready for the market, have the potential to quadruple our miles per gallon. Solar energy, concentrated by rapidly improving systems of parabolic mirrors, could be deployed in Africa's great desert and dry-land regions to provide electricity for Africa and Southern Europe at a cost competitive with fossil fuels. New land-management strategies, backed by modest financial incentives, could end most of today's tropical deforestation, which now contributes around one-fifth of all global carbon emissions as well as causing a massive loss of biodiversity. And all these steps to sustainable energy, according to today's best economic and engineering evidence, can be implemented for less than 1% of annual world income.

Beyond Markets

If the solutions are so attainable, why haven't we reached them already? Part of the reason is that we are facing our problems in the wrong way. We are so convinced that the problems are intractable-or deathly expensive to solve-that paralysis reigns. Even when we are aware of what needs to be done, we are often trapped by a free-market ideology, the same kind of no-regulation policy that has led us into our current financial crisis.
On the three great challenges-environmental sustainability, a stable world population and the end of extreme poverty-market forces will not be enough. The world's producers and consumers currently regard the air as a free dumping ground for carbon dioxide and other climate-changing greenhouse gases. We need to correct market forces-for example, by taxing carbon emissions that are offset by tax reductions elsewhere-in order to create the right incentives. We need to expand greatly our public investments in early-stage clean technologies, such as improved solar-thermal power and carbon capture and sequestration, just as the National Institutes of Health uses public funding to support medical breakthroughs.
Similarly, population stabilization in poor countries requires a determined public investment-in girls' education, health services and child survival-to promote a rapid and voluntary reduction in birth rates. And we should first help the poorest of the poor to get above survival levels of income before we can expect market forces to lift them further, to market-driven prosperity.
None of this is expensive, but none of it can happen by itself. Indeed, it is the low cost of success that is perhaps the most remarkable feature of all. Consider malaria, the great African killer disease. Three hundred million antimalaria bed nets are needed to protect impoverished Africans from the disease. Each net costs $5 and lasts five years, for a total cost of $1.5 billion over five years. Yet that is less than one day's Pentagon spending! Add in the costs of medicines and ongoing delivery services, and we find that comprehensive malaria control would cost less than two days' Pentagon spending each year. Sustainable development will not break the bank. The key is, rather, to make the right choices in our public investments and to find ways to harness, and channel, market forces.

The Power of One

Great social transformations-the end of slavery, the women's and civil rights movements, the end of colonial rule, the birth of environmentalism-all began with public awareness and engagement. Our political leaders followed rather than led. It was scientists, engineers, church-goers and young people who truly led the way. If as citizens we vote for war, then war it will be. If instead we support a global commitment to sustainable development, then our leaders will follow, and we will find a way to peace.
Each of us has a role to play and a chance for leadership. First, study the problems-in school, in reading, on the Web. Second, when possible, travel. There is no substitute for seeing extreme poverty, or deforestation, or the destructive forces of nature in New Orleans, to understand our generation's real challenges. There is no substitute for meeting and engaging with people across cultures, religions and regions to realize that we are all in this together. Third, get your business, community, church or student group active in some aspect of sustainable development. Americans are promoting the control of malaria, the spread of solar power, the end of polio and the reversal of treatable blindness, to name just a few of today's inspiring examples of private leadership. Finally, demand that our politicians honor our nation's global promises and commitments on climate change and the fight against hunger and poverty. If the public leads, politicians will surely follow.
Our generation's greatest challenges-in environment, demography, poverty and global politics-are also our most exciting opportunity. Ours is the generation that can end extreme poverty, turn the tide against climate change and head off a massive, thoughtless and irreversible extinction of other species. Ours is the generation that can, and must, solve the unresolved conundrum of combining economic well-being with environmental sustainability. We will need science, technology and professionalism, but most of all we will need to subdue our fears and cynicism. John F.Kennedy reminded us that peace will come by recognizing our common wealth. "If we can not end now our differences, at least we can help make the world safe for diversity. For, in the final analysis, our most basic common link is that we all inhabit this small planet. We all breathe the same air. We all cherish our children's future. And we are all mortal."
Sachs, author of The End of Poverty, directs the Earth Institute at Columbia University
 
Our Great Problem Is Not Policy, But Implementation. There Is A Big Gap Between The Policy Makers And Implementors And That Is Why Most Of The Time The Promises Of The Policies Are Not Realised My Many. For The Past 4 Decades Africa And Specifically Tanzania Has Tried To Apply All The Policies Which Have Been Applied Else Where In The World But Still Lags Behind.
 
Mchungaji,

Mpaka leo naamini waafrika either kwa makusudi au kwa kutojua hatujatambua vipaumbele vyetu. Hizi MDGs to me I see them as a complete HOAX. Huwezi kuclaim kuadress matatizo kama ya magonjwa, umaskini nk wakati viongozi wetu wanaiba hizo raslimali ambazo zingetumika na hakuna anayewauliza. Mpaka pale viongozi wetu watakapojua namna ya kuweka vipamumbele katika plan zetu ndo tutasonga mbele.

Niliwahi kuongea na waziri mmoja wa nchi moja ya Afrika, akaniambia bwana ehh hizi MDGs zilizobuniwa na Sach na wenzake ni viini macho kuonyesha kwamba wazungu wako interested na matatizo yetu. Hivi kweli unategemea Tanzania au nchi nyingine ya kiafrika ambayo hela wanayoiba viongozi ni almost half ya budget tusonge mbele? where do you get resources to accomplish the MDGs we are talking here?

Tusipopata demokrasia ya kweli, viongozi na wananchi wakawa wawajibikaji, kamwe tutaendelea kupiga kelele tuu za kuomba misaada bila mafanikio... This month G8 watakaa..glorified beggars kama akina Mbeki, Wade na (Kikwete?) watakaribishwa, Ban Ki Moon atakwenda kulia on our behalf waongeze misaada, Oxfam na waandamanaji watakuwa huko Hokkaido wakilia na kutoa statistics za umaskini wetu..lakini to me..naona yote ni ubatili mtupu! Waafrika hatuhitaji muarobaini wa wazungu, if we use what we have carefully and responsibly, hata wazungu watatuheshimu.

So akina Sachs na wenzake ni intellectuals lakini naamini wazungu hawawezi kutupangia priorities zetu...we know our problems better! Iam always skeptics na hizi initiatives zinazotoka Washington au NY eti zinatatua matatizo yetu... Jamani Sach, anayepigwa na kiyoyozi Tutle bay ghorofa ya 20.....priorities za ndugu zangu wa Kwimba au Sengerema atazijuaje? Mi nadhani hata huko UN kwenye hiyo mikutano wawakilishi wetu wanaburuzwa tuu...do they really understand what they do? pale kwenye mkate wa kutufaa kama IMF, WB na WTO waafrika hatuna sauti....wala hayo mashirika hayamo hata kwenye UN structures..kwa sababu wanatoa maamuzi ambayo yanaimpact kubwa kuliko yale yanayogawa misaada makambini kama UNHCR au WFP! Ama kweli Afrika safari bado tunayo!

Ulisikia argument ya Sakorzy juzi aki-mblast commissoner wa EU wa biashara Mendelson na Director wa WTO Lammy? kwamba sera zao za free trade..hakubaliani nazo..maana zinataka EU ipunguze subsidies kwa wakulima wao? You get the point I guess! sasa sisi ndo tunatuma akina Ngasongwa kwenda huko Doha kutuwakilisha.....
 
Mchungaji,

Mpaka leo naamini waafrika either kwa makusudi au kwa kutojua hatujatambua vipaumbele vyetu. Hizi MDGs to me I see them as a complete HOAX. Huwezi kuclaim kuadress matatizo kama ya magonjwa, umaskini nk wakati viongozi wetu wanaiba hizo raslimali ambazo zingetumika na hakuna anayewauliza. Mpaka pale viongozi wetu watakapojua namna ya kuweka vipamumbele katika plan zetu ndo tutasonga mbele.
.....

Masanja,

It is a good reading, I reserve my opinions on the whole MG goals. What I brought to our attention is the thought behind and principles if they could be applied by us Watanzaia and shape ourselves using such blue print.

You have raised a qustion of Mpaka Viongozi wetu, who gives mandate to "Viongozi wetu" kama si sisi wananchi?

If we change our thinking and modus operandi, Viongozi watalazimika kufuata nyayo na kuwa na mipango inayowiana na matakwa ya Wananchi.

Nimetoka kusoma tena Mwelekeo wa Sera za CCM 2000-2010. The concept and intent is great, lakini enforcment na implementation inalegalea na hakuna kilichofanyika.

Sasa waku-enforce si Viongozi tena bali ni Wanachama wa CCM kwa kushikia Bango uongozi kuwa ni vipi waandae mikakati na kutangaza Injili lakini hakuna linalofanyika kama Injili inavyosema?

Same with Watanzania na Mkukuta, Mkurubita, Ufisadi na kila kitu kitokanacho na Uendeshaji wa Nchi na Serikali.

The absence of our solidarity to forceful demand accountability and enforcement of great planning, is detremental to our development, individually and collectivelly as a Nation.

Namnukuu tena Sachs
Great social transformations-the end of slavery, the women's and civil rights movements, the end of colonial rule, the birth of environmentalism-all began with public awareness and engagement. Our political leaders followed rather than led

Sisi kinatushinda nini ku-demand accountability and better life? Inakuwaje tunakuwa wepesi kukubali kuburuzwa?

Angalia ripoti ya CAG ya 2007, uone Uzembe uliokithiri ambao umezaa Wizi, Hujuma na Ubadhirifu (Ufisadi, Rushwa, Takrima). Sisi kama Taifa na wajibu wetu kwa Taifa inakuwaje tunakubali kuendelea kuongozwa na watu wasiofaa na kuwajibika?

Nimemleta Sachs, si kwa nia ya kuuza MDG as MDG, bali nbi kujifunza Ideas na Concept na kuona ni vipi tunawezakuzioanisha kwa Taifa letu ili tuanze kuimarika.

Sachs alikuwa anaandika Insha hii kwa Wamarekani wenzake na si sisi kina Kibugumo.
 
Asante mchungaji, I fully agree na wewe kwenye hii issue ya public awareness. Maana nji ni yetu na sisi ndo inabidi tuiendeleze..lakini hebu fikiria zaidi.

Challenge kubwa tuliyonayo hapa ni je, hii public awareness tutaifanikisha vipi? Unlike western countries, maybe, wananchi walianza kuwa na uelewa na kudemand accountability, lakini vile vile hata viongozi walikuwa willing kuwasikiliza na kufanya nao mazuri kwa faida ya nji. It was not easy, but leadership was seen from the beggining as an avenue to serve the public not self enrichment. Sasa sisi AFRIKA tunapambana na maadui WAWILI viongozi wetu na mataifa ya nje. Kifupi ni kwamba western powers wameamua kuwanunua viongozi wetu (wakanunulika) kufanikisha agenda yao ya kutuibia na kutufanya wavivu wa kufikiri. Sadly wananchi katika nchi nyingi za kiafrika wamebaki kama ORPHANS kwa sababu hatuna MCHUNGAJI wa kuonyesha njia. kama viongozi wetu wangejua wajibu wao, ni dhahiri theory yako ya sisi wananchi kudemand accountability ingefanikiwa. Na tungefanikiwa.

Mfano: Kama Kikwete asingekuwa na ushikaji na akina Sinclair wewe na mimi tungesimama na kumwambia Sinclai stop, this is our country, lakini kama ameshamnunua mkuu wa kaya..what do you do, hata ile petition aliyoandika mwanakijiji Sinclair anamuona jamaa anacheza tuu..kwa sababu he has direct access to the ultimate powers.... Na kama umegundua Africa...so far, ni opposition wachache wameingia madarakani wakafanya vyema kuliko watangulizi wao! People are just desillussioned. Again, wananchi tumefika points tumekuwa frustrated na kuona kwamba we are poor nothing we can do! Umaskini wetu ndo unasababisha wananchi wengi kukataa tamaa na kujiona kwamba wako nje ya decision making. Hivi Mchungaji.. Kishoka do you know that Tanzanians are poor? Aise umasikini wa Tanzania UNATISHA! utauelewa ukiuona. I hope unanielewa...

Mchungaji unachokisema ni UKWELI TUPU lakini ukiangalia reality huku kwetu, bado viongozi wana nafasi kubwa sana ya kuwaguide wananchi. Wananchi wengi uelewa wao ni mdogo mno! na jamii haiwezi kuamka kama hata uji wa mtoto asubuhi ni mgogoro, mlo wa usiku ni shida, karo ya mtoto hakuna..luxury baba wa nyumba anayoweza kuienjoy na mke wake jioni..ni kununua lita mbili ya KIBUKU...man we have along way to go, thats why I say our leaders have to do the basics kwanza..otherwise..huyu mwananchi anayepiga kura kwa kilo mbili za mchele...tutakuwa tunamuonea ....Ila tutafika...let each play his/her part.
 
Asante mchungaji, I fully agree na wewe kwenye hii issue ya public awareness. Maana nji ni yetu na sisi ndo inabidi tuiendeleze..lakini hebu fikiria zaidi.

Challenge kubwa tuliyonayo hapa ni je, hii public awareness tutaifanikisha vipi? Unlike western countries, maybe, wananchi walianza kuwa na uelewa na kudemand accountability, lakini vile vile hata viongozi walikuwa willing kuwasikiliza na kufanya nao mazuri kwa faida ya nji. It was not easy, but leadership was seen from the beggining as an avenue to serve the public not self enrichment. Sasa sisi AFRIKA tunapambana na maadui WAWILI viongozi wetu na mataifa ya nje. Kifupi ni kwamba western powers wameamua kuwanunua viongozi wetu (wakanunulika) kufanikisha agenda yao ya kutuibia na kutufanya wavivu wa kufikiri. Sadly wananchi katika nchi nyingi za kiafrika wamebaki kama ORPHANS kwa sababu hatuna MCHUNGAJI wa kuonyesha njia. kama viongozi wetu wangejua wajibu wao, ni dhahiri theory yako ya sisi wananchi kudemand accountability ingefanikiwa. Na tungefanikiwa.

Mfano: Kama Kikwete asingekuwa na ushikaji na akina Sinclair wewe na mimi tungesimama na kumwambia Sinclai stop, this is our country, lakini kama ameshamnunua mkuu wa kaya..what do you do, hata ile petition aliyoandika mwanakijiji Sinclair anamuona jamaa anacheza tuu..kwa sababu he has direct access to the ultimate powers.... Na kama umegundua Africa...so far, ni opposition wachache wameingia madarakani wakafanya vyema kuliko watangulizi wao! People are just desillussioned. Again, wananchi tumefika points tumekuwa frustrated na kuona kwamba we are poor nothing we can do! Umaskini wetu ndo unasababisha wananchi wengi kukataa tamaa na kujiona kwamba wako nje ya decision making. Hivi Mchungaji.. Kishoka do you know that Tanzanians are poor? Aise umasikini wa Tanzania UNATISHA! utauelewa ukiuona. I hope unanielewa...
.
wewe Masanja mimi nadhani una tatizo la kuelewa mambo unaongelea vitu ambavyo hauvijui hauvielwi au hautaki kuvijua/kuvielewa, unapotoa mfano wa nchi za magharibi hivi unafahamu historia ya nchi za magharibi? umeshachukua hata kuanza kuisoma?
Hivi unafahamu lkni kwamba au unaelewa kwamba nchinyingi za kiafrika kama Tanzania ina miaka isiyopungua hamsini?
Embu nitajia hizo nchi za Magharibi unazoziongelea wewe ambazo kwenye kipindi cha miaka hamsini tangu kuanzishwa kwao ziliweza kufanikisha hayo yoote unayoyaongelea... hivi unafamu kwamba Ulaya nzima wameishi ktk kipindi kirefu sana cha umaskini na unyanyasaji na wa kidekta?
Hivi unafahamu kwa nini Napoleon alipindua Serikali yake? hivi unafahamu nchi kama Ujerumani ambayo ni nchi tajiri (leo) kuliko zoote huko Ulaya Historia yake?
kama hujui kwa kifupi ni hivi Uj kama nchi ilianzishwa mwaka 1871, 1914 wakaanzisha vita ya kwanza ya Dunia (kumbuka hakuna demokrasia hapo na idadi ya watu waliokufa kamili siijui lkini ni mamilioni), baada ya hapo akaja Hitler hakuna demokrasia hapo na matokeo yake nafikiri umeshawahi kuyasikia kama bado useme utaambiwa....hivi unajua kwamba wajerumani walikwa wanakula viatu kwa njaa.... sasa baada ya hiyo vita ikachukua nchi nyingi kusimamia na kuhakikisha kunakuwa na demokrasia ya kweli ujerumani ambapo matokeo yake ndio tunyaona sasa hivi, kwa hiyo ilichukua ujerumani miaka 150 mpaka wakweza kuondoa au kupunguza uamskini, rushwa, maonevu na kujenga demokrasia ya kweli.. .... ukija uhispania tangu kuanzishwa kwao demokrasia ya kweli wameijua mwanzoni mwa miaka ya 80, pochugali nao hivyo hivyo... Japani jaribu kusoma historia ya japani tangu mwanzoni halafu uangalie ni wapi wamepita mpaka kupata mfumo unaofanya kazi (usisahau bomu la maangamizi), korea kusini angalia mitikisiko ya miaka ya sabini...angalia china ambayo kila mtu anisifia leo unajua inapotoka umeshawa kusikia quing dynast umeshawahi kumsikia mao.... unajua nini kimetokea china mpaka kufikia hapo ilipo leo???????????????
hivi unajua ni kwa nini watu wa ireland walihama kwao na kwenda dunia nzima ni hivi majuzi tuu ndio wameanza kuendlea? unajua kwamba kulikua na njaa amabyo iliua watu miliono 5?
kwa kwa kifupi ni kwamba nchi za ulaya zimejua demokrasia ya kweli ambayo wewe unaingolea juzi tuu na na hilo limefikiwa baada ya damu nyingi sana kumwagika, rushwa, umaskini, ukandamizaji n.k... kama unaishi Ulaya jaribu kutembelea majumba ya kifalme halafu uliza jinsi yalivyojengwa na ni nani alijenga, na yalijengwa kwania gani na kwa ajili ya nani?
unajua historia ya ikulu ya parisi alizei palce (sijui kuiandika vizuri), kama hujui soma na uielewe.
Hivi unajua tofauti ya Ufalme na jamhuri? hivi unajua kwa nini nchi nyingi za magharibi zimebadilika kutoka ufalme kwenda jamhuri? unafikiri ilitokea kwa miaka 40 tuu.......
sasa kama jibu ni hapana ni kwa nini unakuwa mchoyo na mmnafiki kwa afrika nakutaka kwa miaka 40 tuu basi tuwe hatuna rushwa, hakuna umaskini, hakuna maonevu ya wanyonge, hakuna dhambi n.k....
Je unajua kwamba chuo kikuu cha kwanza tanzania kilijengwa mwaka 1972 au miaka ya 70? Je unaelewa hilo linamaanisha nini?
kama nchi nyingine zoote zilichukua zaidi ya miaka 200 kufikia hapo zilipo ni kwa nini kwetu unategemea hiyo miaka 40 tuu na kwa wengine kama zimbabwe ni miaka 28 tuu... na NIMEKUPA CHANGAMOTO NITAJIE NCHI YEYOTE YA MAGHARIBI UNAYOIONGELEA AMBAYO ILIWEZA KUFANIKISHA HAYO KWA KIPINDI CHA MIAKA 40 halafu tuijadili hapa....
kwa kifupi ni kwamba mimi naelewa tatizo lako (nahisi) nalo ni kwamba unaangalia vitu ambavyo vinaelea na bila kujiuliza vimetengezwa vipi kwa hiyo unaona ulaya imendelea leo na hiyo inakusumbua akili na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.. sasa kama kuna ushauri ninaweza kukupa ukifikiria hivyo utakuwa na matatizo siku zoote... wewe cha kufanya ni hivi iangalie tz kama ilivyo na fikiria ni nini unaweza kufanya na kubadilisha kile ambacho si sawa... kama ni kufa kwa umaskini watu watakufa tuu hata kama ukilalamika, kama ni uonevu upo tuu na tz au afrika itakuwa na watu wanaishi kwa miaka zaidi ya 10 000 ijayo kwa hiyo muda wa kufikia hapo unapopataka wewe utafika...wewe fanya unachoweza na kilichobaki vizazi vijavyo vitaendeleza.....na hapo ndipo maana ya neno binadamu linapokuja na hiyo ndio tofauti kati yake na wanyama kwamba tunaweza kuona tatizo kulipima na kuangalia ni (kutokana na uwezo wako) unaweza kubadilisha au kuboresha...vinginevyo unaweza kuchagua kuendelea kulalamika tuu kama unavyofanya humu na siku yako ikifika utakufa na wengine wataendelea kuishi...
 
wewe Masanja mimi nadhani una tatizo la kuelewa mambo unaongelea vitu ambavyo hauvijui hauvielwi au hautaki kuvijua/kuvielewa, unapotoa mfano wa nchi za magharibi hivi unafahamu historia ya nchi za magharibi? umeshachukua hata kuanza kuisoma?
Hivi unafahamu lkni kwamba au unaelewa kwamba nchinyingi za kiafrika kama Tanzania ina miaka isiyopungua hamsini?
Embu nitajia hizo nchi za Magharibi unazoziongelea wewe ambazo kwenye kipindi cha miaka hamsini tangu kuanzishwa kwao ziliweza kufanikisha hayo yoote unayoyaongelea... hivi unafamu kwamba Ulaya nzima wameishi ktk kipindi kirefu sana cha umaskini na unyanyasaji na wa kidekta?
Hivi unafahamu kwa nini Napoleon alipindua Serikali yake? hivi unafahamu nchi kama Ujerumani ambayo ni nchi tajiri (leo) kuliko zoote huko Ulaya Historia yake?
kama hujui kwa kifupi ni hivi Uj kama nchi ilianzishwa mwaka 1871, 1914 wakaanzisha vita ya kwanza ya Dunia (kumbuka hakuna demokrasia hapo na idadi ya watu waliokufa kamili siijui lkini ni mamilioni), baada ya hapo akaja Hitler hakuna demokrasia hapo na matokeo yake nafikiri umeshawahi kuyasikia kama bado useme utaambiwa....hivi unajua kwamba wajerumani walikwa wanakula viatu kwa njaa.... sasa baada ya hiyo vita ikachukua nchi nyingi kusimamia na kuhakikisha kunakuwa na demokrasia ya kweli ujerumani ambapo matokeo yake ndio tunyaona sasa hivi, kwa hiyo ilichukua ujerumani miaka 150 mpaka wakweza kuondoa au kupunguza uamskini, rushwa, maonevu na kujenga demokrasia ya kweli.. .... ukija uhispania tangu kuanzishwa kwao demokrasia ya kweli wameijua mwanzoni mwa miaka ya 80, pochugali nao hivyo hivyo... Japani jaribu kusoma historia ya japani tangu mwanzoni halafu uangalie ni wapi wamepita mpaka kupata mfumo unaofanya kazi (usisahau bomu la maangamizi), korea kusini angalia mitikisiko ya miaka ya sabini...angalia china ambayo kila mtu anisifia leo unajua inapotoka umeshawa kusikia quing dynast umeshawahi kumsikia mao.... unajua nini kimetokea china mpaka kufikia hapo ilipo leo???????????????
hivi unajua ni kwa nini watu wa ireland walihama kwao na kwenda dunia nzima ni hivi majuzi tuu ndio wameanza kuendlea? unajua kwamba kulikua na njaa amabyo iliua watu miliono 5?
kwa kwa kifupi ni kwamba nchi za ulaya zimejua demokrasia ya kweli ambayo wewe unaingolea juzi tuu na na hilo limefikiwa baada ya damu nyingi sana kumwagika, rushwa, umaskini, ukandamizaji n.k... kama unaishi Ulaya jaribu kutembelea majumba ya kifalme halafu uliza jinsi yalivyojengwa na ni nani alijenga, na yalijengwa kwania gani na kwa ajili ya nani?
unajua historia ya ikulu ya parisi alizei palce (sijui kuiandika vizuri), kama hujui soma na uielewe.
Hivi unajua tofauti ya Ufalme na jamhuri? hivi unajua kwa nini nchi nyingi za magharibi zimebadilika kutoka ufalme kwenda jamhuri? unafikiri ilitokea kwa miaka 40 tuu.......
sasa kama jibu ni hapana ni kwa nini unakuwa mchoyo na mmnafiki kwa afrika nakutaka kwa miaka 40 tuu basi tuwe hatuna rushwa, hakuna umaskini, hakuna maonevu ya wanyonge, hakuna dhambi n.k....
Je unajua kwamba chuo kikuu cha kwanza tanzania kilijengwa mwaka 1972 au miaka ya 70? Je unaelewa hilo linamaanisha nini?
kama nchi nyingine zoote zilichukua zaidi ya miaka 200 kufikia hapo zilipo ni kwa nini kwetu unategemea hiyo miaka 40 tuu na kwa wengine kama zimbabwe ni miaka 28 tuu... na NIMEKUPA CHANGAMOTO NITAJIE NCHI YEYOTE YA MAGHARIBI UNAYOIONGELEA AMBAYO ILIWEZA KUFANIKISHA HAYO KWA KIPINDI CHA MIAKA 40 halafu tuijadili hapa....
kwa kifupi ni kwamba mimi naelewa tatizo lako (nahisi) nalo ni kwamba unaangalia vitu ambavyo vinaelea na bila kujiuliza vimetengezwa vipi kwa hiyo unaona ulaya imendelea leo na hiyo inakusumbua akili na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.. sasa kama kuna ushauri ninaweza kukupa ukifikiria hivyo utakuwa na matatizo siku zoote... wewe cha kufanya ni hivi iangalie tz kama ilivyo na fikiria ni nini unaweza kufanya na kubadilisha kile ambacho si sawa... kama ni kufa kwa umaskini watu watakufa tuu hata kama ukilalamika, kama ni uonevu upo tuu na tz au afrika itakuwa na watu wanaishi kwa miaka zaidi ya 10 000 ijayo kwa hiyo muda wa kufikia hapo unapopataka wewe utafika...wewe fanya unachoweza na kilichobaki vizazi vijavyo vitaendeleza.....na hapo ndipo maana ya neno binadamu linapokuja na hiyo ndio tofauti kati yake na wanyama kwamba tunaweza kuona tatizo kulipima na kuangalia ni (kutokana na uwezo wako) unaweza kubadilisha au kuboresha...vinginevyo unaweza kuchagua kuendelea kulalamika tuu kama unavyofanya humu na siku yako ikifika utakufa na wengine wataendelea kuishi...

Kijakazi,

We are living in modern world, all experiments and experience are there as historic facts and records. Man's evolution is also on record.

THe question that I have to you is why shoulf Tanzania or Africa for that case re-invent the suffarage and misery wheel? Why choose to try with great efforts to undergo the suffrage and tradgedy that others have already experince and go though like Jando so that we can boast orself Ukakamavu wa shida na tabu, while we have better choices and great avenues to expedite our progress?

Ehh, kwa nini tupitie Utumwa, Ukabaila, Civil rights Movement, Vita za Ndani na Nje ili eti tuwe kama Wenzetu?

Hasn't the history taught us well and we have option to skip the rotation and go straight to achieve Progress and Development?

Nafikiri wewe una mawazo kama viongozi au wale waalimu ambao wanatabia ya kufanya mambo yawe magumu alimradi kukomoa kwa kuwa eti wao walisota, hivyo wote mpate msoto kwanza mjue uchungu wa kupata utamu!
 
Kijakazi,

We are living in modern world, all experiments and experience are there as historic facts and records. Man's evolution is also on record.

THe question that I have to you is why shoulf Tanzania or Africa for that case re-invent the suffarage and misery wheel? Why choose to try with great efforts to undergo the suffrage and tradgedy that others have already experince and go though like Jando so that we can boast orself Ukakamavu wa shida na tabu, while we have better choices and great avenues to expedite our progress?

Ehh, kwa nini tupitie Utumwa, Ukabaila, Civil rights Movement, Vita za Ndani na Nje ili eti tuwe kama Wenzetu?

Hasn't the history taught us well and we have option to skip the rotation and go straight to achieve Progress and Development?

Nafikiri wewe una mawazo kama viongozi au wale waalimu ambao wanatabia ya kufanya mambo yawe magumu alimradi kukomoa kwa kuwa eti wao walisota, hivyo wote mpate msoto kwanza mjue uchungu wa kupata utamu!
Naomba uandike kiswahili kama inawezekana ili niweze kuelewa vizuri unachosema na mwishowe kuweza kukujibu ipasavyo.....
 
Kijakazi,

We are living in modern world, all experiments and experience are there as historic facts and records. Man's evolution is also on record.

THe question that I have to you is why shoulf Tanzania or Africa for that case re-invent the suffarage and misery wheel? Why choose to try with great efforts to undergo the suffrage and tradgedy that others have already experince and go though like Jando so that we can boast orself Ukakamavu wa shida na tabu, while we have better choices and great avenues to expedite our progress?
Ehh, kwa nini tupitie Utumwa, Ukabaila, Civil rights Movement, Vita za Ndani na Nje ili eti tuwe kama Wenzetu?

Hasn't the history taught us well and we have option to skip the rotation and go straight to achieve Progress and Development?

Nafikiri wewe una mawazo kama viongozi au wale waalimu ambao wanatabia ya kufanya mambo yawe magumu alimradi kukomoa kwa kuwa eti wao walisota, hivyo wote mpate msoto kwanza mjue uchungu wa kupata utamu!

Mchungaji I couldnt say it any better. Asante

For Kijakazi, I normally dont agree with her/his views, but in my professional and personal life, I learnt to respect people even if I dont agree with their views. So Kijakazi you will never find me any where belittling your level of understanding or dignity! Because you are very fond of name calling and undermining the intellectualism of others especially here at JF. Whatever your provocative statements might be, you will never tempt me to do so to you or somebody else! I respect your ideas and your right to air them!

Tuendelee na mjadala,

Masanja,
 
Mchungaji I couldnt say it any better. Asante

For Kijakazi, I normally dont agree with her/his views, but in my professional and personal life, I learnt to respect people even if I dont agree with their views. So Kijakazi you will never find me any where belittling your level of understanding or dignity! Because you are very fond of name calling and undermining the intellectualism of others especially here at JF. Whatever your provocative statements might be, you will never tempt me to do so to you or somebody else! I respect your ideas and your right to air them!

Tuendelee na mjadala,

Masanja,

Je unaweza kuandika kiswahili tafadhali ili nikuelewe vizuri unachomaanisha na hatimaye niweze kukujibu...ni ombi tuu
 
Je unaweza kuandika kiswahili tafadhali ili nikuelewe vizuri unachomaanisha na hatimaye niweze kukujibu...ni ombi tuu

I dont think you need to answer anything. It was just a comment.

Nikutakie siku njema,

Masanja
 
Rev na Masanja,

Shule maridadi kabisa hiyo kwa viongozi/wananchi wetu.....kudos to you guys
 
Kijakazi,

We are living in modern world, all experiments and experience are there as historic facts and records. Man's evolution is also on record.

THe question that I have to you is why shoulf Tanzania or Africa for that case re-invent the suffarage and misery wheel? Why choose to try with great efforts to undergo the suffrage and tradgedy that others have already experince and go though like Jando so that we can boast orself Ukakamavu wa shida na tabu, while we have better choices and great avenues to expedite our progress?

Ehh, kwa nini tupitie Utumwa, Ukabaila, Civil rights Movement, Vita za Ndani na Nje ili eti tuwe kama Wenzetu?

Hasn't the history taught us well and we have option to skip the rotation and go straight to achieve Progress and Development?

Nafikiri wewe una mawazo kama viongozi au wale waalimu ambao wanatabia ya kufanya mambo yawe magumu alimradi kukomoa kwa kuwa eti wao walisota, hivyo wote mpate msoto kwanza mjue uchungu wa kupata utamu!


Kijakazi,

Umeleta Historia kutukumbusha wapi Wanadamu tulikotoka na jinsi ni jinsi gani nchi za Magharibi na Zilizoendelea zilipitia mazingira magumu kufika hapo zilipo.

Umesema, usione vyaelea vimeundwa.

Swali langu kwako ni hili, Ikiwa sisi Watanzania na Waafrika tumebahatika kuishi katika Ulimwengu huu wa Kisasa ambapo Sayansi na Teknolojia vimerahisisha uzalishaji mali na vitendea kazi, kuna mifumo na mafundisho ya kuleta maendeleo ya Uchumi, Jamii na Kisiasa kwa kujifunza kutokana na walikopitia wenzetu waliofanya majaribio mpaka wakafika hapa walipo, Swali ni kwa nini Tanzania na Afrika irudi kupitia zana za mawe, mahangaiko na mateseko?

Kwa nini mkulima aendelee kutumia jembe la mkono wakati tuna uwezo wa kutumia Trekta?

Ni faida gani kuchelewesha Maendeleo eti nasi tukitaka kupitia njia na taabu tujue ugumu wa kuona vinavyoelea ambavyo vimeundwa?

Kwa nini tupitie mateso hayo yote wakati njia ya mkato ipo na ni bora kwa faida kubwa?
 
Kijakazi,

Umeleta Historia kutukumbusha wapi Wanadamu tulikotoka na jinsi ni jinsi gani nchi za Magharibi na Zilizoendelea zilipitia mazingira magumu kufika hapo zilipo.

Umesema, usione vyaelea vimeundwa.

Swali langu kwako ni hili, Ikiwa sisi Watanzania na Waafrika tumebahatika kuishi katika Ulimwengu huu wa Kisasa ambapo Sayansi na Teknolojia vimerahisisha uzalishaji mali na vitendea kazi, kuna mifumo na mafundisho ya kuleta maendeleo ya Uchumi, Jamii na Kisiasa kwa kujifunza kutokana na walikopitia wenzetu waliofanya majaribio mpaka wakafika hapa walipo, Swali ni kwa nini Tanzania na Afrika irudi kupitia zana za mawe, mahangaiko na mateseko?

Kwa nini mkulima aendelee kutumia jembe la mkono wakati tuna uwezo wa kutumia Trekta?

Ni faida gani kuchelewesha Maendeleo eti nasi tukitaka kupitia njia na taabu tujue ugumu wa kuona vinavyoelea ambavyo vimeundwa?

Kwa nini tupitie mateso hayo yote wakati njia ya mkato ipo na ni bora kwa faida kubwa?
sasa hapo nimekupata kisawasawa, na nitakujibu kama ifuatavyo:
mawazo unayoyatoa wewe ni mawazo mazuri sana na kila mtu anataka iwe hivyo lkni unachosahau ni kwamba sisi ni wanadamu na tabia ya binadamu nafikiri unaifahamu...
sababu ya mimi kutoa hiyo mifano ya nchi hizo za magharibi na zingine zilizoendelea ni kwamba katika hali ya kawaida haiwezekani kwa mwanadamu mwenye nguvu au madaraka kuweza kuachia madaraka yake kwa wale anaowatawala kwa hiari yake.
hiyo ndio asilia ya mwanadamu awe muafrika, mongolia, mzungu, muarabu, mhindi maadamu anaitwa mwanadamu asili yake ni kwamba anataka hali aliyokuwanayo iendelee hivyo hivyo tuu kwa hiyo kama wewe au watu wale wanaotawaliwa wanataka mabadiliko basi ni lazima myachukue kwa nguvu na sio kuomba na ndio maana nikatoa mifano ya hizo nchi na historia yao...
kwa hiyo kama ukiangalia mambo yanayotokea nchini mwetu ya rushwa, upendeleo, undugu n.k haviwezi kubadilika kwa kusubiri tuu na kuongea kumbuka hao watu wanaotawala wanaipenda hiyo hali iendelee hivyo ilivyo na ndio maana hata sasa wanaanza kuweka watoto wao ili waendeleze hiyo hali ya kutawala, kwa hiyo watawaliwa kama wanataka mabadiliko ni lazima watumie nguvu kuyalazimisha mabadiliko kwa maana hawataweza kuyaleta kwa hiari mtaongea mtalalamika mpaka mtachoka lkni hakuna watakachofanya kubadilisha hiyo hali...
na ndio maana nikakupa hiyo mifano kwamba hakuna mabadiliko yanayotokea kwa hiari hata haki za wanawake bila fujo mpaka leo wanawake wangekuwa bado wanawatumikia wanaume kwa maana kwa mwanaume anapenda hiyo iendelee kwa mfano akirudi nyumbani akute chakula juu ya meza bila kujua kimepikwa vipi sasa ni nani asiyependa hivyo? Je unategemea mwanaume atajaribu kubadilisha hilo kwa hiari yake?
chukulia mfano hapa kwetu watu wengi wanawafanyakazi wa nyumbani/ wasaidizi kamwe hawatokubali kuwaona wale waliowaajiri wakiendelea kuliko wao kama yule mfanyakazi akisema anataka asome hapo ndio mwisho wa kibarua chake, sasa kwanini sababu ni kwamba huyo tajiri anataka yule mfanyakazi aendelee kuwepo hapo alipo siku zoote na asithubutu kujikwamua...
ukichukilia mtu kama mfalme mswati wa swazilandi an wake zaidi ya 20 na kila mwaka wasichana wazuri wanjipanga mbele yake na anachagua yupi anfaa Je unafikiri huyo ataachia hiyo hali ibadilike kwa hiari yake? mkitaka mmbadilishe ni lazima mlazimishe badiliko vingenevyo haiwezekani....
hata hizo nchi zilizoendea siku hizi inasemekana kwamba watu wanaopata kazi nzuri kamahuko wall street ukiangalia baba zao nao walipitia huko huko...
nasikia chuo kama yale zaidi ya asilimia themanini ya wanafunzi wao wazazi wao walipitia huko ndio hao akina bush, kaka yake, klinton, na mke wake sasa atakuja mtoto wake, joni keri, na kuweza kuweza kubadilisha hiyo hali ni lazima mapambano yafanyike vinginevyo hao watu hawawezi kuachia hiyo ni lazima nyie mlio chini muweze kuwalazimaisha hao walio juu...nimesoma kuwa leo hii marekani na ulaya kama umezaliwa na wazazi maskini basi uwezekano wa wewe kuweza kuwa tajiri ni asilimia ndogo mno kiasi kwamba unaweza ukaindoa na kusema ni sifuri na wale wanaozaliwa na matajiri uwezekano wa wao kuwa matajiri ni mkubwa kuliko kuwa maskini... sasa swali ni kwa nini hiyo ipo hivyo JIBU asilia ya mwanadamu hao matajiri wanataka hiyo hali iendelee hivyo hivyo kwa maana kwa wao maisha ni mazuri kwa hiyo hata kama ana uwezo wa kuweza labda kupunguza ada ya chuo kama yale ili maskini waweze kupeleka watoto wao hawezi kufanya hivyo kwa hiari kwani hilo litahatarisha maisha yao ya kitawala....
sasa basi ninachotaka kusema ni kwamba hayo yoote uliyoyasema ni sawa kabisa lkni ni kinyume cha asili ya mwanadamu... kwa hiyo kama tunataka kuleta mabadiliko nchini mwetu ni lazima tuyalazimishe kama wengine walivyofanya na sio kukaa na kulalamika tuu kwani kufanya hivyo ni kupoteza muda, kwa maana watu walio juu au watawala wetu hawawezi kubadilisha hali waliokuwa nayo kwa manufaa yetu hata siku moja ni pale tuu tutakapo walazimisha...kwani kumbuka kwamba kama umaskini wanaoumia ni watawaliwa na sio watawala kwa hiyo watawala hawaoni sababu ya kubalisha hiyo hali... na ndio maana nikatoa swali kwamba mnitajie nchi ambayo imeweza kufanya hayo mabadiliko bila ya shida yaani watawala waliwapa watawaliwa zamu ya kutawala, kwa hiari tuu bila kulazimishwa kwa namna moja au nyingine....
ni kitu ambacho hakiwezekani kutokana na asilia ya mwanadamu.
Na kama hutaki kulitambua hilo basi utakuwa unatwanga maji kwenye kinu na utaishia kulalamika na watoto wenu watazaliwa na kukuwa ktk umaskini siku zoote na hatimaye kufa na mtabaki mkisema ohh waafrika hivi wafrika vile ukweli ni kwamba kundi la watawala halijali hilo...
kwani unafikiri hawajui kwamba kuna watu hawana chakula au dawa au barabara au maji safi ya kunywa? lkni hakuna kinachowalazimisha kubadilisha hilo kwani familia zao haziishi hivyo?
Na kitu cha mwisho hivi unajua ni kwa nini vita ya vietnam ilileta mtafaruku marekani kuliko ya iraki?
Ni kwamba wakati wa vita vya vietnam ilifika wakati sasa ikabidi kila mtu aende vitani na hilo likajumuisha watoto wa watawala pia na hapo ndipo vita ikamalizwa haraka sana kwani watawala waliona kwamba sasa watoto wao watakufa lkni vita ya iraki mpka sasa wanaokufa woote au umizwa ni watoto wa maskini nandio maana mpaka leo bado wanakufa zaidi ya miaka 5... sasa utielezeaje hali kama hiyo jibu lake asili ya mwanadamu kama iraki kungekuwa na watoto wa maseneta hiii vita ingekuwa imekwisha zamani sana lkni hawaoni sababu kwani wanaokufa hawana hadhi...
hivi umeangalia michael moore 9/11 kama bado angalia na hapo ndipo utaelewea asili ya mwanadamu angalia pale anpomuuliza seneta ni kwanini anataka vita iendelee iraki wakati yeye hataki kupeleka mtoto wake huko....
 
sababu ya mimi kutoa hiyo mifano ya nchi hizo za magharibi na zingine zilizoendelea ni kwamba katika hali ya kawaida haiwezekani kwa mwanadamu mwenye nguvu au madaraka kuweza kuachia madaraka yake kwa wale anaowatawala kwa hiari yake.
hiyo ndio asilia ya mwanadamu awe muafrika, mongolia, mzungu, muarabu, mhindi maadamu anaitwa mwanadamu asili yake ni kwamba anataka hali aliyokuwanayo iendelee hivyo hivyo tuu kwa hiyo kama wewe au watu wale wanaotawaliwa wanataka mabadiliko basi ni lazima myachukue kwa nguvu na sio kuomba na ndio maana nikatoa mifano ya hizo nchi na historia yao...

sasa basi ninachotaka kusema ni kwamba hayo yoote uliyoyasema ni sawa kabisa lkni ni kinyume cha asili ya mwanadamu... kwa hiyo kama tunataka kuleta mabadiliko nchini mwetu ni lazima tuyalazimishe kama wengine walivyofanya na sio kukaa na kulalamika tuu kwani kufanya hivyo ni kupoteza muda, kwa maana watu walio juu au watawala wetu hawawezi kubadilisha hali waliokuwa nayo kwa manufaa yetu hata siku moja ni pale tuu tutakapo walazimisha...kwani kumbuka kwamba kama umaskini wanaoumia ni watawaliwa na sio watawala kwa hiyo watawala hawaoni sababu ya kubalisha hiyo hali... na ndio maana nikatoa swali kwamba mnitajie nchi ambayo imeweza kufanya hayo mabadiliko bila ya shida yaani watawala waliwapa watawaliwa zamu ya kutawala, kwa hiari tuu bila kulazimishwa kwa namna moja au nyingine....
ni kitu ambacho hakiwezekani kutokana na asilia ya mwanadamu.
Na kama hutaki kulitambua hilo basi utakuwa unatwanga maji kwenye kinu na utaishia kulalamika na watoto wenu watazaliwa na kukuwa ktk umaskini siku zoote na hatimaye kufa na mtabaki mkisema ohh waafrika hivi wafrika vile ukweli ni kwamba kundi la watawala halijali hilo....

Kijakazi,

Kwa nini tutumie mabavu kutafuta riziki na haki na si demkrasia?

Kwa nini turudie makosa ya wenzetu na kulazimisha (mabavu, nguvu, damu) kuondoa tabaka la Watawala na si nguvu zetu za Kikatiba na kuwapigia kura wengine?
 
.................. kwa hiyo kama tunataka kuleta mabadiliko nchini mwetu ni lazima tuyalazimishe kama wengine walivyofanya na sio kukaa na kulalamika tuu kwani kufanya hivyo ni kupoteza muda, kwa maana watu walio juu au watawala wetu hawawezi kubadilisha hali waliokuwa nayo kwa manufaa yetu hata siku moja ni pale tuu tutakapo walazimisha................

Kijakazi,

well said Mkuu.........naomba unisaidie kunielimisha hizo njia za KULAZIMISHA MABADILIKO
............binafsi naamni mabadiliko katika jamii hutokea kwa process mbali mbali............hata kabla hatujafikia huko kulazimishana inabidi kuwe na atleast na juhudi kama tunazozifanya hapa JF........au

naomba nielimishe mkuu......shukran
 
...Kwa nini tupitie mateso hayo yote wakati njia ya mkato ipo na ni bora kwa faida kubwa?

Rev, hili ni swali la muhimu kwa Afrika yote na nchi nyingine mbalimbali zinazodaiwa kuwa ni za "dunia ya tatu."

Je, ni njia zipi hizo za mkato zinazohitajika kutambulika, kuchaguliwa na kutumika katika nchi zetu? Hili swali laweza nirudisha kwenye ule usemi ulioleta utata mkubwa kipindi cha karibuni, usemi kuwa "ndege yetu ya uchumi Tanzania inapaa."

Tunatatizo moja kubwa; vitabu na mihadhara mingi ya jinsi ya kuleta maendeleo katika nchi zetu yako based kwenye filosofia za kimagharibi, ambazo bila kuzilaumu, ndizo zinazoakisi mwanga halisi wa maendeleo tunayotaka kuyanakili.

Sasa basi tatizo tulilonalo ni kwamba, wasomi wetu na wachanganuaji wetu wa mambo, mastrategist na viongozi wetu, maendeleo wanayotaka kuyaleta Africa ni hayo ya 'kimagharibi'. Kiini cha matatizo ni kwamba maendeleo haya ya kimagharibi yananakiliwa katika nyanja zote kimaisha. Maendeleo ya Kiafrika na yale yakimagharibi yote yanawekwa kwenye mabano sawa sawa bila kuchanganua na kuyaondoa yale ambayo ndani ya Afrika hayawezekeni au yako tofauti ili kuleta filosofia mpya ya maendeleo ya Kifrika yaliyopikika kiafrika.

Ngoja niseme kitu kimoja ambacho ni controversial...

Russia ya Putin leo hii ingekuwa bado imefyata mkia mbele ya West Europe kama nchi hiyo ingelikubali maendeleo ya kiwestern ambayo wa west europeans madai yao makubwa yanaletwa na aina ya demokrasia. Pamoja na kuwa Russia hivi sasa bado ina matatizo yake, lakini ukweli wa mambo ni kuwa ubishi wa Putin na style yake ya ukomonist aliyoileta baada ya kuingia madarakani ndiyo hiyo iliyoletea clout Russia zidi ya West hivi sasa baada ya kusambaratishwa na wa-west hao hao kwa malengo ya kuifanya isiwe super-super power. Ona matatizo yaliyojitokeza duniani baada ya kuwa na single super power.

China nayo hivyo hivyo... imeshinikizwa mara mia kidogo na wa-west, lakini kwa kufata filosofia zake yenyewe kuhusiana na utawala wa ndani na mipaka yake.... hivi sasa the west inaishia kuwabembeleza katika kila kitu, hali hapo mwanzo ingeliweza kabisa kuwalazimisha.

Saudi Arabia ina udikteta mkubwa ndani... pamoja na kuwa maendeleo yake ni kutokana na mafuta zaidi ya yote, jambo la kukumbuka hapa ni stability kisiasa katika nchi hizi.

Mifano ni mingi duniani ambako the west wameshindwa kupenetrate na kuleta propaganda zao, hata kama nchi hizo zina maendeleo yasiyoridhisha.

Sasa nilisema jambo hili liko controversy ni kwasababu kuwa, nchi kama Russia, Iraq, China, n.k. ni nchi ambazo zinahitaji utawala wa kidikteta. Utawala huu ni demokrasia isiyokubalika kwa west, lakini kwa mazingira na tamaduni za nchi hizo aina hii ya udikteta ni bora zaidi kuliko demokrasia inayoshinikizwa na the west.

Hivyo basi Rev., ni pale tu tutakapo gundua ni njia zipi za mkato tunazoweza kutumika ndani ya nchi zetu ndipo hapo tutakuwa na maendeleo kupitia njia hizo, achilia mbali usimamiaji wa machaguo yetu.

SteveD.
 
StevD well said.

Sasa tunarudi kule kule. What should we do? unajua kuna zile minimum standards za demokrasia za magharibi ambazo hatuwezi kuzikwepa kama kuchagua viongozi by secret ballot nk. Sasa Afrika the main problem tuliyonayo ni kwamba viongozi tunaowaamini na kuwachagua wanatusaliti. Sijui nisemeje, lakini ukiangalia mtu kama Kikwete alivyochaguliwa na wananchi its like MOST Tanzanians had a complete trust in him! now you see what he is doing.

Russia, Iran, China wote wana aina ya udikteta, lakini wote wana kitu kimoja in common, viongozi wake wanajali mataifa yao! China ukiiba mali ya umma unanyongwa. To me demokrasia yoyote ile ni lazima iweke maslahi ya nchi mbele. Na ndivyo hata nchi za magharibi wanafanya...national interests mbele...Viongozi wetu ALMOST WOTE wa Africa ni wezi!

StevD, Kishoka et al, kuna mambo mimi na wewe hatuwezi kuyafanya kama serikali isipoweka misingi hiyo. Imagine umebeba box miaka kumi una vi-$$$ kadhaa unataka kurudi nyumbani....well unaweza kufanikiwa kama TRA wanafanya kazi yao vizuri, hakuna kubambikiziwa kodi, hakuna urasimu wa kuandikisha kampuni Brela, hakuna urasimu wa kufungua account nk..SASA HIVI VITU VIKO JUU YA UWEZO WAKO, INGAWA HAKIKA WEWE NDO INABIDI UFANYE KAZI UZALISHE. Sasa Africa kila anayeingia madarakani..ni yeye na familia yako na kuanza kupiga mahesabu namna ya kuiba next election! Thats what makes Africa a dark continent.

Yes, I fully agree demokrasia ya magharibi kwa kweli ina mapungufu yake, lakini tuige ipi? ya mchina? ya muiran? ya Kibaki au ya Mugabe? Ipi? No short answer, ila nashauri tuchukue ya magharibi,....tuirefine isuit mazingira yetu...

Ila narudia....Africa tunahitaji uongozi bora na uongozi unaojali watu wake.....akina Masanja, Kishoka, SteveD, Ogah...NK TUTACHACHARIKA TUU..MPAKA KITAELEWEKA. Lakini kwasasa una kibiashara chako..TRA baada ya kukusupport ndo wanakubambizia kodi..kama serikali ikipambana na GRAND corruption kwa dhati..watu si wanaona? lakini sasa hivi the government is part of the problem! And me as Masanja siyo dola..nitamfanya nini Chenge au RA? Leo kupata elimu Afrika bado ni privelege ya wenye nazo...hivi wewe jiulize haya maskandali yote ya hawa jamaa ambao wameiba pesa billions and billions kwenye nchi fukara kama Tanzania lakini bado watu wanadunda...what message do you get? No guys just ask yourself! Mimi mpaka nachoka kufikiria wakuu...sipendi kuamini kwamba waafrika ndivyo tulivyo..lakini...its sad...uongozi ni msalaba, na msalaba wenyewe ni kufanya maamuzi mazito...JK anaogopa? sijui..Ila kwa mwendo huu..siyo demokrasia wala nini..we cant move forward...hebu niambieni nchi y magharibi unayoweza kuiba mali ya umma..ukaachwa hivi hivi...Only in Africa!

Anyway...sitegemei serikali iniletee maendeleo..bali nahitaji waweke mimimum standards..mimi na Ogah na wengineo tuhangaike..basi...Habari ndiyo hiyo...
 
Kijakazi,

Kwa nini tutumie mabavu kutafuta riziki na haki na si demkrasia?

Kwa nini turudie makosa ya wenzetu na kulazimisha (mabavu, nguvu, damu) kuondoa tabaka la Watawala na si nguvu zetu za Kikatiba na kuwapigia kura wengine?
na ndio maana nikasema kwamba hayo yote unayoyasema ni sawa kabisa na ndivyo inavyopaswa kuwa katika Dunia hii lkni SI UKWELI ni kama Ndoto... kama zilivyo ndoto nyingi ni lazima utofautishe kati ya Ndoto na UKWELI na ukweli ni kwamba HAIWEZEKANI na kama kuna mahali ambapo imewezekana basi paseme na tuweze kuwaiga.....
kukujibu hilo "kwa nini tutumie na kutafuta riziki na haki na si demokrasia" jibu lake ni kwamba hakuna kitu kama haki ktk Dunia hii na kama watu wote ambao walikuwa wanakandamizwa ktk Dunia hii wangefwata maneno yako ya kusubiri mpaka hapo watawala watakapowapa haki zao basi mpaka leo wangekuwa bado wanasubiri, Ngoja nikuulize swali dogo Je ni kwa nini wafanyakazi wa hata hizo nchi unazoziongela wewe kwamba zimeendela wanagoma? kwa nini wasikae tuu na kusubiri? sababu ni kwamba wanajua kabisa ili wapate haki zao ni lazima walazimishe na hiyo inatokana kwa wao kugoma labda kufanya kazi na hapo ndipo tabaka la watawala linapoanza kuwasikiliza kwani linakuwa limebanwa...
Kwa nini Genoa italia (kwenye mkutano wa wto) kulikuwa na maandamano ambapo watu wengine mpaka walipigwa risasi na polisi na wengine kufungwa ambapo ni kinyume cha demokrasia yao? kwa nini kila kikao cha wto watu wanafanya fujo na wengine mpaka wanauliwa na hii haitokei afrika bali ni huko unakokusifu kwa demokrasia kwa nini wale waandamanaji wasikae tuu na kufwata demokrasia na kusubiri mabadilko?
Kwa nini huko arizona marekani tunasoma kwamba wananchi wameamua kuchukua sheria mkononi na kuanza kulinda mipaka kuzuia wahamiaji (haramu!) ambapo kwa kawaida SI kazi yao bali ni kazi ya polisi sasa ni kwanini wasitumie haki yao ya kidemokrasia na kusubiri serikali yao kufanya hilo? Je unaweza kunipa Jibu la hayo maswali?
kwa kifupi HAKUNA HAKI HAPA DUNIANI huo ndio mtazamo wangu na badiliko la kweli linatokana na wale wanao kandamizwa na kuweza kuwalazimisha wale wakandamizaji kwa namna moja au nyingine kuwapa haki na sio kuwaomba na kusubiri na kulalamika tuu kila siku kama unavyoshauri/sema...
 
Ngosha na Masanja,

Kuna mambo mawili ambayo yanaingiliana katika hoja hii. La kwanza ni mfumo wa jamii, kisiasa na kiungozi/kitendaji, na la pili ni mfumo wa kufanya kazi na vitendea kazi.

Nilipozungumzia kupitia mateso wakati kuna njia za mkato, nilikuwa nazungumzia shughuli za uzalishaji mali.

Nitamtumia Kijakazi na historia yake kulifafanua hili.

Sisi bado tunatumia jembe la mkono kufanya shughuli za Kilimo ambacho ndio mwajiri mkubwa na tegemeo kubwa la Taifa letu kuchumi. Swali ni hili, kwa nini tuendelee na mfumo wa zama za mawe kiuzalishaji wakati wenzetu wameshavumbua mifumo mipya ambayo si kuishia na jembe la ng'ombe pekee, bali wanatumia mashine kama trekta? Je ni kwa miaka mingapi ya kuteseka kwa Jembe la mkono tutaendelea kuteseka na kuishia kuwa na mfumo wa kujikimu (subsistance) kiuchumi?

Njoo kwenye shughuli nyingine za Uzalishaji mali na hata nishati. Ikiwa leo wamegundiua nishati kutumia miale ya jua, kwa nini basi tuendelee kutumia vibatari na kuni kule vijijini na mijini kuendelea kutumia mafuta ya kuagiza kuzalisha umeme wakati tungeweza kutumia Umeme wa miale ya jua na hovyo kupiga hatua kubwa ya maendeleo katika uchumi wetu na uzalishaji mali?

Leo vijijini, pampu za maji zaonekana anasa, lakini wanakijiji wanatumia muda mwingi kutembea kwenda kuteka maji mtoni, kutafuta kuni porini huku tuna uwezo kupitia mipango bora ya Seikali na jumuiya kufupisha safari hizi na hivyo watu wetu kuwa na muda wa ziada kufany amambo mengine?

Kwa nini tuendelee kutumia masaa 8 kukoboa gunia moja la mahindi huku Sayansi na Teknolojia inatuonyesha kuwa tuna uwezo wa kukoboa magunia 10 kwa saa moja? Je hatuwezi kutumia na kujifunza kutoka kwa wenzetu kuimarisha ufanisi?

Je uzalishaji mali wa mwaka 1700 ulikuwa ni wa namna gani kuwa leo hii Mtanzania bado anahamu kubwa kuendelea kuwa na mfumo ule ule kabla ya Mkoloni wa kuzalisha mali na biashara na si mfumo mpya ambao unaendana na mahitaji ya Mtanzania?

Tukija kwenye mfumo wa Uongozi na Jamii, suala ni hili, je tumeweza kurudi katika enzi za jamii zetu kabla ya kuja Mkoloni wa Kireno, Kiarabu, Jerumani na Muingereza na kuangalia uongozi na mfumo wa serikali yetu ulikuwaje?

Je hii evolution ya West democracy, imedumaza kwa kiasi gani progression ya traditional customs and our development?

Tulikuwa na Uchifu, Umangi, Utemi na Ufalme, je tumepitia huko na kuona ni mfumo gani asilia na huu wa kigeni ambao tunaweza unganisha na kuwa na mfumo mpya wa kwetu ambao utakuwa ndio kitambulisho chetu cha Taifa letu?

Mmemzungumzia Putin, nitawaletea Mwalimu Nyerere na Azimio la Arusha, je Azimio halikuwa na azma ya kujenga Taifa kutokana na mfumo wetu wenyewe na si kuburuzwa na mfumo wa Kimagharibi au Kimashariki?

Watanzania na Waafrika, tuna nafasi kubwa sana ya kuubadilisha huu ulimwengu na kuwa bora na kila mtu akatufuata na kutuiga. Uwezo tunao, Sababu tunazo, lakini nia hatuna. Maana tunaona tabu kugangamala na kujiunda upya kwa kujifunza na kuunganisha yale yetu ya Asili, ya Magaribi, Mashariki na menginewe.

Udhaifu huu, unatokana na kuendelea kuwa wanyonge na kuburuzwa na Viongozi wetu.

Kijakazi anasema tuchukue nchi kwa nguvu ili tunachokitaka kitimilike.

Suala ni je Watanzania wote kwa ujumla tunajua tunachokitaka? Je ni wote tuko tayari kuwa Wafanisi kwa Upeo wa Kimagharibi au tumeridhika na Uzalishiaji mali wa Kujikimu na tumeridhika na hali zetu za maisha na kila mtu na lwake?

It is debatable!
 
Back
Top Bottom