Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Inaonekana wewe ndiye uliyeshiriki jaribio la kutaka kuondoa uhai wake
He is worth less than a piece of shit
He is worth less than a piece of shit
Negative negative is normally translated as positive.He is worth less than a piece of shit
Nilijua mbaya wake lazima ujitokeze,hiz siasa tu achana na roho ya kiibilis itaķupeleka jehanam so far hat wew pia utaenda mavumbin utaacha cheo chako
Binafsi namkubali sana Lissu tatizo ni namna anavyowasilisha hoja zake. Ni mtu anayedhani anajua kila kitu na wengine wote ni maboya kwa hulka yake hana tofauti na Jiwe.
Naamini ameona speech aliyotoa Julius Malema bungeni wakati anampongeza Rais mteule. Hotuba imeshiba lakini ameitoa kwa adabu sana.
Hakuna mtu mwenye akili kama Lissu kwa sasa
Wajinga ndo wanamwona ana akili kuwazidi wao na kudhani ana akili kuzidi kila mtu. Lisu ana akili ksatikati ya kundi kubwa la watu wajinga
Unamaanisha akili za nini sasa?Hakuna mtu mwenye akili kama Lissu kwa sasa
Unamaanisha akili za nini sasa?
Let me save my breath. You are right.Kwanini mnateseka sana juu ya mh Lissu?
Ameandika ujumbe huu kupitia twitter:
Tundu Lissu is one of the bravest humans I've ever met, and I'm deeply, profoundly proud to call him a friend. That he will return to Tanzania - and continue to push for change - after being shot nearly twenty times is a testament to his courage. It is truly awe-inspiring.
Nilijua mbaya wake lazima ujitokeze,hiz siasa tu achana na roho ya kiibilis itaķupeleka jehanam so far hat wew pia utaenda mavumbin utaacha cheo chako
Lissu The GreatestAmeandika ujumbe huu kupitia twitter:
Tundu Lissu is one of the bravest humans I've ever met, and I'm deeply, profoundly proud to call him a friend. That he will return to Tanzania - and continue to push for change - after being shot nearly twenty times is a testament to his courage. It is truly awe-inspiring.
Ukikumbwa na dengue dawa ni panadol na maji mengi .So what?
Ukikumbwa na dengue dawa ni panadol na maji mengi .
sasa huu utukufu mnaompa lisu ndo maana Mbowe na kikundi cha wame mmiminia risasai maana unaposema ni maarufu kuliko mtu yoyote Tanzania inamaana ni maarufu kuliko mkuu wake ndani ya chamaMtatukana sana ila ukweli upo mioyoni mwenu kuwa Lissu ni mtanzania pekee maarufu sana hapa duniani
sasa huu utukufu mnaompa lisu ndo maana Mbowe na kikundi cha wame mmiminia risasai maana unaposema ni maarufu kuliko mtu yoyote Tanzania inamaana ni maarufu kuliko mkuu wake ndani ya chama
Ukikumbwa na dengue dawa ni panadol na maji mengi .
He is worth less than a piece of shit
And you worth a whole of shit in a shitholeHe is worth less than a piece of shit
I would say he is the most selfish person ever.. Kwa ufupi ni msaliti wa taifa.. Mramba miguu wa mabeberu