issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
hivi umeangalia hiyo dp yako kabla hujatapika huu utumboJeffer Smith ni fala flani tu,white colour
hivi umeangalia hiyo dp yako kabla hujatapika huu utumboJeffer Smith ni fala flani tu,white colour
Bashite huyoana cheo gani huyo naye...najinyonga mm hapa ..!
Ila angekuwa kamsifia jiwe, ungemwita shujaa na kumwagia sifa kedekede hapaJeffer Smith ni fala flani tu,white colour
Lissu ni brave kwenye dunia hii iliyokuwa na vijana wasomi wengi na wanamuappreciate wengi nadhan ni moja ya kitu bora na cha kujivunia nampongeza kwa hiloHuyo akiwa ' brave ' na akina Nyerere, Mandela, Machel, Lumumba, Kaunda, Nkurumah achilia mbali na wale Watanzania na Waafrika wengine waliopigania nchi zao tena Kipindi Kigumu kabisa cha Wakoloni na Mateso bila kusahau Manyanyaso yao kiasi kwamba leo hii Waafrika wengi tunakula Matunda ya Upambanaji Wao itakuwaje au nao waitweje?
Lissu ni brave kwenye dunia hii iliyokuwa na vijana wasomi wengi na wanamuappreciate wengi nadhan ni moja ya kitu bora na cha kujivunia nampongeza kwa hilo
Nyerere na wenzake walikuwa brave ila walizungukwa na kundi kubwa la wajinga pia na wapongeza kwa juhudi zao
Point yangu ni kwamba hatuwez kufananisha nyakat wote wametumia nafas zao vizur na wote ni brave kwa nyakat zao