mnankawe
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 178
- 95
Nadhani alikuwa na plan ya kupiga chini Ualimu ili ajaribu fani hii ya telecom.
Inasikitisha sana.Huyu jamaa Kama sikosei aliwahi ajiriwa kama mwl.wa Diploma ya Ualimu pale Singida.Wakati fulani tukiwa chuo alisha nambiaga hii story!!