Jeffery Samson Mkuki: Msomi wa Chuo Kikuu anayehangaika kijijini bila ajira

Ukweli ni kwamba HAKUNA ELIMU INAYOTOA PESA, UKITAKA PESA LAZIMA UFANYE KAZI YA KUAJIRIWA, AU KUJIAJIRI. Biashara pia ni kazi ya kujiajiri.
 
Kila siku huwaga natafakari....unasemaga watu wanasomea ujinga...unamaanisha hii elimu dunia ndio ujinga!!?...


Hizo "ga" kwenye hayo Maneno alikufundisha nani?

Hizo nukta nne kati ya neno "natafakari" na "unasemaga" alikufundisha nani?

Kama hujafundishwa na yeyote na Mwalim na wazazi wako walikuwa wanaona kawaida tu ukifanya hivyo basi elewa kuwa walikuwa wanakufundisha ujinga.
 
Kama alipata ajira huko "mujini" ilishindikana nini kuwasaidia hao ndugu zake akiwa hukohuko na ndugu zake wakiwa kijijini?

Kinachofuata atauza hiyo HP yake, hapo siilaum serikali kwanza. Namlaum yeye moja kwa moja
Ni jambo lisiloingia akilini kwamba kipato cha kupakia mizigo na kuuza mkaa kinaweza kuwasaidia hao ndugu zake kuliko alichokuwa anapata kwenye ajira aliyokuwa nayo.Kuna uwezekano mkubwa kwamba ajira yoyote atakayopata ataicha na kurudi nyumbani
 
He looks worn out and in despair.

Amejikatia tamaa. BIG MISTAKE
 
Faculty hizi bhana...Kuna kipindi serikali inakuwa na uhitaji mkubwa wa Watu fulani sasa wale watu wakishapatikana aisee hawa wengine wanaovamia hizj Faculty lazima waisome namba..!! Hata kujiajiri huwezii ni hatarii sanaa...
 
Kuna watu wanapiga hela mjini kwa kozi za ajabu ajabu tu za mawasiliano. Sembuse yeye wa Telekomyunikesheni?

Huu ni uzembe tu naona, hayuko sawa kisaikolojia jamaa
Faculty hizi bhana...Kuna kipindi serikali inakuwa na uhitaji mkubwa wa Watu fulani sasa wale watu wakishapatikana aisee hawa wengine wanaovamia hizj Faculty lazima waisome namba..!! Hata kujiajiri huwezii ni hatarii sanaa...
 
Kuna watu wanapiga hela mjini kwa kozi za ajabu ajabu tu za mawasiliano. Sembuse yeye wa Telekomyunikesheni?

Huu ni uzembe tu naona, hayuko sawa kisaikolojia jamaa
Ndogu achaa tuu watu wa tele na Computer yani wanalia kweli kazi hakunaa na kujiajiri hawaweziii
 
JEOFREY SAMSON MKUKI KIJANA "MSOMI" WA CHUO KIKUU CHA DODOMA ANAYEHANGAIKA KIJIJINI BILA AJIRA.

Alihitimu Elimu ya Chuo Kikuu (University Of Dodoma) Mwaka 2013 kisha akaelekea zake Dar Es Salaam kujitafutia Riziki na baadae akaamua kurudi Kijijini kwao alikozaliwa. Kule UDOM, Jeofrey alisomea (BSc.Telecommunications Engineering) na Vyeti vyake vyote kuanzia Kidato cha Nne hadi Chuo Kikuu anavyo huku Kijijini.

Kijana mwenzetu Jeofrey Samson Mkuki ni Mkazi wa Kitongoji cha Imiga, Kijiji cha Mkiwa, Kata ya Mkiwa, Wilaya ya Ikungi huko Mkoani Singida. Jeofrey Mkuki ni Yatima asiye na Wazazi wake wote wawili maana walishatangulia mbele za haki.

Wakati nafika Eneo anakoishi Jeofrey Mkuki huko Mkoani Singida, niliambatana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi anayeonekana Pichani upande wa kulia. Huko Kijijini, Jeofrey anaishi na Wadogo zake wawili ambao wanamtegemea na anajishughulisha na Vibarua vidogo vidogo ikiwemo kupakia Mizigo kwenye Magari na kuuza Mkaa karibu na Barabara Kuu ya Mwanza to Dar Es Salaam.

Kijana Jeofrey Mkuki ni Mtu mwenye Akili zake timamu na kwa mujibu wa Majirani zake na Viongozi wa Serikali wa Eneo anakoishi akiwemo Mheshimiwa Diwani wa Kata hiyo niliyeambata naye, wanadai hajawahi kupatwa na tatizo lolote la Kiafya, ingawa ukiutazama muonekano wake unaweza usiamini kama ni Kijana mwenye Elimu ya kiwango cha juu kiasi hiki.

Kwa mujibu wa maelezo yake yeye mwenyewe, Jeofrey anasema, "niliamua kurudi huku Kijijini kwa sababu, wadogo zangu hawa bado ni wadogo na kama unavyoona Wazazi wote hawapo, iliniuma sana nikaamua nirudi huku. Huko Mijini nilipata Ajira kwenye Mashirika ya Mambo ya Mawasiliano na nilikuwa nazunguka Mikoani, lakini kutokana na hii familia unayoiona, ndio hivyo tena Mheshimiwa, lakini natamani Siku moja niwe tofauti na hivi niliyake. Alieleza Mkuki.

Kijana Jeofrey Mkuki aliwahi kufundisha kama Mwalimu wa kujitolea wa Masomo ya Sayansi kama vile Basic Mathematics na Physics katika Shule ya Sekondari Senge maarufu kama Chifu-Senge iliyopo Singida Mjini Mkoani Singida. Nilipomuuliza kwa nini asiendelee kufundisha, Jeofrey alisema ni Maisha tu yamemvurugia mambo yake na akafikia hatua hii ingawa bado ana wazo la aina hiyo.

Aidha, Jeofrey Mkuki pia ni Mtaalam mzuri wa Computer na wakati nafika Kijijini kwao anakoishi huko Mkoani Singida, nimemkuta akiwa na Computer yake aina ya Laptop HP anayotumia kwa ajili ya Shughuli zake za binafsi.

Kwa Mawasiliano zaidi na Jeofrey Mkuki wa Singida unaweza kupiga Simu yake ya Mkononi 0746440462 au Email: mkukijs@gmail.com

Au unaweza kuwasiliana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi 0745865904.

Francis M. Garatwa,
Kiongozi wa Oparesheni ya Chama,
Jimbo la Singida Mashariki.
Ikungi, Singida - Tanzania.
12 June, 2019.

View attachment 1125671

View attachment 1125673

View attachment 1125675
Kwa mtazamo wangu naona kama ye ndo kakosea, kwa mjibu wa maelezo yako kumbe alikuwa na ajira ya kuzanguka mikoan akaamua kuacha ili aje akae na wadogo zake kijijin, kwanin asingewachukua aishi nao mjin ili yeye aendelee kupambana, ila unasema aliacha kazi akarudi kijijin kuwaangalia wadogo zake
 
Kuna kwenda shule na kuelimika. Kwenda shule ni kutoka nyumban kwenda majengo ya shule.

Kuelimika ni matokeo ya kwenda shulen, ni kubadilika kwa fikra na mtazamo hali inayomwezesha mhusika kutawala mazingira yanayomzunguka (nasio mazingira kumtawala mhusika).
 
  • Thanks
Reactions: T11
Kwa maelezo ya mwandishi hapo juu ni kwamba alisha ajiriwa na makampuni ya mawasiliano akaacha ili arudi kijijini kuwalea wadogo zake. So hajakosa ajira bali hayo ndo maisha aliyoyachagua.
Angewza kuwachukua wadogo zake na kuishi nao mahali alipokuwa anafanya kazi na sio kuacha kazi na kurudi bush
 
JEOFREY SAMSON MKUKI KIJANA "MSOMI" WA CHUO KIKUU CHA DODOMA ANAYEHANGAIKA KIJIJINI BILA AJIRA.

Alihitimu Elimu ya Chuo Kikuu (University Of Dodoma) Mwaka 2013 kisha akaelekea zake Dar Es Salaam kujitafutia Riziki na baadae akaamua kurudi Kijijini kwao alikozaliwa. Kule UDOM, Jeofrey alisomea (BSc.Telecommunications Engineering) na Vyeti vyake vyote kuanzia Kidato cha Nne hadi Chuo Kikuu anavyo huku Kijijini.

Kijana mwenzetu Jeofrey Samson Mkuki ni Mkazi wa Kitongoji cha Imiga, Kijiji cha Mkiwa, Kata ya Mkiwa, Wilaya ya Ikungi huko Mkoani Singida. Jeofrey Mkuki ni Yatima asiye na Wazazi wake wote wawili maana walishatangulia mbele za haki.

Wakati nafika Eneo anakoishi Jeofrey Mkuki huko Mkoani Singida, niliambatana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi anayeonekana Pichani upande wa kulia. Huko Kijijini, Jeofrey anaishi na Wadogo zake wawili ambao wanamtegemea na anajishughulisha na Vibarua vidogo vidogo ikiwemo kupakia Mizigo kwenye Magari na kuuza Mkaa karibu na Barabara Kuu ya Mwanza to Dar Es Salaam.

Kijana Jeofrey Mkuki ni Mtu mwenye Akili zake timamu na kwa mujibu wa Majirani zake na Viongozi wa Serikali wa Eneo anakoishi akiwemo Mheshimiwa Diwani wa Kata hiyo niliyeambata naye, wanadai hajawahi kupatwa na tatizo lolote la Kiafya, ingawa ukiutazama muonekano wake unaweza usiamini kama ni Kijana mwenye Elimu ya kiwango cha juu kiasi hiki.

Kwa mujibu wa maelezo yake yeye mwenyewe, Jeofrey anasema, "niliamua kurudi huku Kijijini kwa sababu, wadogo zangu hawa bado ni wadogo na kama unavyoona Wazazi wote hawapo, iliniuma sana nikaamua nirudi huku. Huko Mijini nilipata Ajira kwenye Mashirika ya Mambo ya Mawasiliano na nilikuwa nazunguka Mikoani, lakini kutokana na hii familia unayoiona, ndio hivyo tena Mheshimiwa, lakini natamani Siku moja niwe tofauti na hivi niliyake. Alieleza Mkuki.

Kijana Jeofrey Mkuki aliwahi kufundisha kama Mwalimu wa kujitolea wa Masomo ya Sayansi kama vile Basic Mathematics na Physics katika Shule ya Sekondari Senge maarufu kama Chifu-Senge iliyopo Singida Mjini Mkoani Singida. Nilipomuuliza kwa nini asiendelee kufundisha, Jeofrey alisema ni Maisha tu yamemvurugia mambo yake na akafikia hatua hii ingawa bado ana wazo la aina hiyo.

Aidha, Jeofrey Mkuki pia ni Mtaalam mzuri wa Computer na wakati nafika Kijijini kwao anakoishi huko Mkoani Singida, nimemkuta akiwa na Computer yake aina ya Laptop HP anayotumia kwa ajili ya Shughuli zake za binafsi.

Kwa Mawasiliano zaidi na Jeofrey Mkuki wa Singida unaweza kupiga Simu yake ya Mkononi 0746440462 au Email: mkukijs@gmail.com

Au unaweza kuwasiliana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi 0745865904.

Francis M. Garatwa,
Kiongozi wa Oparesheni ya Chama,
Jimbo la Singida Mashariki.
Ikungi, Singida - Tanzania.
12 June, 2019.

View attachment 1125671

View attachment 1125673

View attachment 1125675
mpelekeni katika operation CHADEMA NI MSINGI, Huyu atakuwa ni msaada mkubwa sana.
 
  • Thanks
Reactions: T11
Anatakiwa kumkimbilia Mwenyeziungu asali yoteee ya bahati mbaya na kutokutumia akili zake tena yamtoke.


Bila hivyo mmmmh kila atakapokwenda yatamfata na kumtenda.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom