Jeffery Samson Mkuki: Msomi wa Chuo Kikuu anayehangaika kijijini bila ajira

Daaaa nimesoma huku machozi yakinivizia.
Hasa nikikumbuka mwaka 2012 nilimaliza chuo July na Desemba mwaka huohuo nikapata ajira mpaka leo maisha yanasonga.
Hee mwenyezi mungu waangalie viumbe wako hawa wanaohangaika mtaani na vyeti vyao vizuri.
Asante kwa mchango ni matumaini yangu namba umeiona utafanya yako mkuu
 
dah inaumiza sana aisee,,,
hivi serikali haiwezi ku fund tech startup hata za watu watano watano,ili kusaidia vijana
AU hicho sio kipaumbele kwao,,,,,halafu unakuta limtu kama musiba wanalifadhili pumbavu zao.............
Bob, tupunguze hasira. Fanya kumsadia ndugu yetu hapo juu
 
Jana tulikutana kwenye thread moja, nkakutana na maneno yako tu mafupi nanukuu;
"Life fucks us thus why nobody dies virgin"

nakumbuka mbali sanaaaa. Maisha yangu yalikua kama huyo jamaa 99%.

Mungu amtangulie milango ifunguke.
Aisee sijui kama unajua ni kiasi gani naumia kuona watu wanaumia kiasi hiki! Huyu jamaa simjui but niko tayari kuuza kuku wangu nimtumie hata buku!!
Babu yako naelewa kila kitu. Kuzeeka kote huku nshakwepa mishale mingi
 
Aisee sijui kama unajua ni kiasi gani naumia kuona watu wanaumia kiasi hiki! Huyu jamaa simjui but niko tayari kuuza kuku wangu nimtumie hata buku!!
Babu yako naelewa kila kitu. Kuzeeka kote huku nshakwepa mishale mingi

Mkuu najua sana hizo shida, zinaumiza, zinakatisha tamaa,...unadharaulika, unakejeliwa, unatukwana, unadhihakiwa, unanyanyaswa kwa maneno. Sitaki kukumbuka. Nampa pole. Dunia ni duara.
 
Back
Top Bottom