King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,328
- 67,745
Jamaa naona amekaa kicomedy zaidi,nahisi kama movie inataka kutengenezwa hapa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, wakati mwingine maisha yanatubadili kwa uzembe! Sasa huyu ndugu alikuwa na kazi yake mjini kwenye makampuni ya mawasiliano akamua kuacha kazi ili aje akae na wadogo zake. Ilishindikana nini kuwachukua hao madogo akakaa nao huko mjini kwa hicho kidogo alikuwa anapata?Usimlaumu sana, hakuna mtu anayebadili maisha ila maisha yana mbadili mtu
SIJAJUA LENGO LA HUU UZI. NIMESOMA MARA MBILI MBILI LAKINI BADO SIJAJUA MAANA YA HUU KUWEPO HUU UZI HUMU. DIWANI KAENDA KUMUONA. KAENDA KUMUONA ILI IWEJE? HII HABARI UMEKUTA WAPI?JEOFREY SAMSON MKUKI KIJANA "MSOMI" WA CHUO KIKUU CHA DODOMA ANAYEHANGAIKA KIJIJINI BILA AJIRA.
Alihitimu Elimu ya Chuo Kikuu (University Of Dodoma) Mwaka 2013 kisha akaelekea zake Dar Es Salaam kujitafutia Riziki na baadae akaamua kurudi Kijijini kwao alikozaliwa.
Anitafute PM nimpe mail itakayompa ajira mara moja.
Kwa hiyo hata wewe Ulishindwa kumpa elimu mpwa wako badala yake unanunua bando la JF?Mpwa wangu alifaulu kwenda kidato cha V, shughuli ya kununua godoro, jembe, ndoo, sanduku ilikuwa mtihani. Aliwambia ndugu waache tu. aliamua kuwa mkulima.
Sasa hivi ana nyumba ya vyumba vitatu vya kulala ilijengwa kwa matofali ya kuchoma na kuezekwa kwa mabati, Ana mbuzi 100, shamba la ana panda mahindi, mabamia yanampatia 10,000 kila siku asubuhi.
SIJAJUA LENGO LA HUU UZI. NIMESOMA MARA MBILI MBILI LAKINI BADO SIJAJUA MAANA YA HUU KUWEPO HUU UZI HUMU. DIWANI KAENDA KUMUONA. KAENDA KUMUONA ILI IWEJE? HII HABARI UMEKUTA WAPI?
HUYO DIWANI HANA AKILI. HUU NI ZAIDI YA UDHALILISHAJI MAANA KAMA MTU HUTAKI KUMSAIDIA NI BORA UKAMUACHA NA MAISHA YAKE NA SIYO KUMUWEKA KWENYE MEDIA ILI WAPATE SIFA.
HUU UZI NIMEUSOMA ILA SIJAFURAHISHWA NAO KABISA. DADA YANGU UMEFANYA JAMBO JEMA LAKINI UMEFANYA UDHALILISHAJI PAMOJA NA HUYO DIWANI. MTU ANAHANGAIKA NA MAISHA YAKE AMEKONDEANA. WEWE UNARUSHA HUMU SIJUI UPATE LIKE AU NDIYO UJULIKANE ZAIDI?
KIUFUPI
WEWE, DIWANI NA HAO WALIOCHAPISHA HIYO HABARI WAMEFANYA TUKIO LA UDHALILISHAJI. KAMA MTU HUWEZI KUMSAIDIA ACHANA NAYE NA SIYO KWENDA KAMERA UPATE SIFA.
Ni ukweli mzee, elimu yake ina mapungufu. Zero Art of Living.Mkuu, wakati mwingine maisha yanatubadili kwa uzembe! Sasa huyu ndugu alikuwa na kazi yake mjini kwenye makampuni ya mawasiliano akamua kuacha kazi ili aje akae na wadogo zake. Ilishindikana nini kuwachukua hao madogo akakaa nao huko mjini kwa hicho kidogo alikuwa anapata?
Lengo la huu uzi ni ku expose the issue. JF inasomwa na watu tofauti. Msaada unaweza kupatikana kupitia kwenye uzi huuSIJAJUA LENGO LA HUU UZI. NIMESOMA MARA MBILI MBILI LAKINI BADO SIJAJUA MAANA YA HUU KUWEPO HUU UZI HUMU. DIWANI KAENDA KUMUONA. KAENDA KUMUONA ILI IWEJE? HII HABARI UMEKUTA WAPI?
HUYO DIWANI HANA AKILI. HUU NI ZAIDI YA UDHALILISHAJI MAANA KAMA MTU HUTAKI KUMSAIDIA NI BORA UKAMUACHA NA MAISHA YAKE NA SIYO KUMUWEKA KWENYE MEDIA ILI WAPATE SIFA.
HUU UZI NIMEUSOMA ILA SIJAFURAHISHWA NAO KABISA. DADA YANGU UMEFANYA JAMBO JEMA LAKINI UMEFANYA UDHALILISHAJI PAMOJA NA HUYO DIWANI. MTU ANAHANGAIKA NA MAISHA YAKE AMEKONDEANA. WEWE UNARUSHA HUMU SIJUI UPATE LIKE AU NDIYO UJULIKANE ZAIDI?
KIUFUPI
WEWE, DIWANI NA HAO WALIOCHAPISHA HIYO HABARI WAMEFANYA TUKIO LA UDHALILISHAJI. KAMA MTU HUWEZI KUMSAIDIA ACHANA NAYE NA SIYO KWENDA KAMERA UPATE SIFA.