Jeffery Samson Mkuki: Msomi wa Chuo Kikuu anayehangaika kijijini bila ajira

sina shaka ana elimu ya darasani . kasoma. lakini kuna sehemu ama kipengele bado. kwa msomi ni kutumia elimu uliyoipata ili uishi. ana utalaam kwa mawsiliano tayari mtaji! hapo naweza sema kuna mkono wa shetani/ pepo kwanza aanzie kanisani aombe sana mungu amfungue ufahamu!! haupo hapo!
Hahah..
 
Huyo jamaa kama kweli kasoma chuo hakuelimika
Anashindwa hata kulima alizeti eka mbili akapata japo mtaji?
Chadema mchukueni huyo awe mgombea badala ya lissu
umeonaaaa heee!!! huyu kwa kweli elimu haijamkomboa kabisa!!! hata aliyepost pia ni mpumbavu kabisa... sasa anapost ili watu wamsaidie mtu ambaye ana elimu ya kutosha?? kama angekuwa labda ni mwanamke labda tungemuonea huruma... sasa kijeba kimekomaa sura kama jiwe leo hii mtu analeta post ya kuoba help ili adaidiwe kweli???
 
Kosa lako mama Ndalichako,kuwapa elimu isiyowasaidia wahitimu...😥😥😥😥😥
heri yake yuko uraiani wapo vijana waliozombwa na jkt kwa mujibu wa sheria toka 2013,2014,2015,2016 umri wao unazidi kwenda wapo tuu,nguvu kubwa imetaifishwa lengo lao halielweki kama serikali,wengi wameanza kuvuta bangi na kunywa pombe haramu wamekata tamaa
 
He is a confused Engineer(BSC in Telecom Engineering) ajira zipo wazi kabisa .Ameamua mwenyewe awe hivyo alivyo.
 
Kijana Jeofrey Mkuki aliwahi kufundisha kama Mwalimu wa kujitolea wa Masomo ya Sayansi kama vile Basic Mathematics na Physics katika Shule ya Sekondari Senge maarufu kama Chifu-Senge iliyopo Singida Mjini Mkoani Singida. Nilipomuuliza kwa nini asiendelee kufundisha, Jeofrey alisema ni Maisha tu yamemvurugia mambo yake na akafikia hatua hii ingawa bado ana wazo la aina hiyo.

Aidha, Jeofrey Mkuki pia ni Mtaalam mzuri wa Computer na wakati nafika Kijijini kwao anakoishi huko Mkoani Singida, nimemkuta akiwa na Computer yake aina ya Laptop HP anayotumia kwa ajili ya Shughuli zake za binafsi.

Kwa Mawasiliano zaidi na Jeofrey Mkuki wa Singida unaweza kupiga Simu yake ya Mkononi 0746440462 au Email: mkukijs@gmail.com

Au unaweza kuwasiliana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi 0745865904.

Francis M. Garatwa,
Kiongozi wa Oparesheni ya Chama,
Jimbo la Singida Mashariki.
Ikungi, Singida - Tanzania.
12 June, 2019.


Hii ndiyo shida kubwa ya wasomi wetu.
Kuwaza kuajiriwa badala ya kuwaza kufumbua ajira.
Yuko Kijijini ana Laptop eti kwa Kazi zake alafu unamwona kama mtu asiye na fursa?
Anafursa nyingi .
Hapo kijijini hakuna shule ili awafundishe kwa gharama za ziada watoto?
Kwa utaalamu wake IT hawezi kutafuta kazi za Online huku anafanyia akiwa huko kijijini/
Mtaalamu wa IT hawezi kufungua Centre ya Repair hata ya simu kama njia ya ziada ya kipata?
nk
 
Hizo "ga" kwenye hayo Maneno alikufundisha nani?

Hizo nukta nne kati ya neno "natafakari" na "unasemaga" alikufundisha nani?

Kama hujafundishwa na yeyote na Mwalim na wazazi wako walikuwa wanaona kawaida tu ukifanya hivyo basi elewa kuwa walikuwa wanakufundisha ujinga.
Duuh...weka na maksi basi....tujue ngapi chini ya ngapi??
 
JEOFREY SAMSON MKUKI KIJANA "MSOMI" WA CHUO KIKUU CHA DODOMA ANAYEHANGAIKA KIJIJINI BILA AJIRA.

Alihitimu Elimu ya Chuo Kikuu (University Of Dodoma) Mwaka 2013 kisha akaelekea zake Dar Es Salaam kujitafutia Riziki na baadae akaamua kurudi Kijijini kwao alikozaliwa. Kule UDOM, Jeofrey alisomea (BSc.Telecommunications Engineering) na Vyeti vyake vyote kuanzia Kidato cha Nne hadi Chuo Kikuu anavyo huku Kijijini.

Kijana mwenzetu Jeofrey Samson Mkuki ni Mkazi wa Kitongoji cha Imiga, Kijiji cha Mkiwa, Kata ya Mkiwa, Wilaya ya Ikungi huko Mkoani Singida. Jeofrey Mkuki ni Yatima asiye na Wazazi wake wote wawili maana walishatangulia mbele za haki.

Wakati nafika Eneo anakoishi Jeofrey Mkuki huko Mkoani Singida, niliambatana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi anayeonekana Pichani upande wa kulia. Huko Kijijini, Jeofrey anaishi na Wadogo zake wawili ambao wanamtegemea na anajishughulisha na Vibarua vidogo vidogo ikiwemo kupakia Mizigo kwenye Magari na kuuza Mkaa karibu na Barabara Kuu ya Mwanza to Dar Es Salaam.

Kijana Jeofrey Mkuki ni Mtu mwenye Akili zake timamu na kwa mujibu wa Majirani zake na Viongozi wa Serikali wa Eneo anakoishi akiwemo Mheshimiwa Diwani wa Kata hiyo niliyeambata naye, wanadai hajawahi kupatwa na tatizo lolote la Kiafya, ingawa ukiutazama muonekano wake unaweza usiamini kama ni Kijana mwenye Elimu ya kiwango cha juu kiasi hiki.

Kwa mujibu wa maelezo yake yeye mwenyewe, Jeofrey anasema, "niliamua kurudi huku Kijijini kwa sababu, wadogo zangu hawa bado ni wadogo na kama unavyoona Wazazi wote hawapo, iliniuma sana nikaamua nirudi huku. Huko Mijini nilipata Ajira kwenye Mashirika ya Mambo ya Mawasiliano na nilikuwa nazunguka Mikoani, lakini kutokana na hii familia unayoiona, ndio hivyo tena Mheshimiwa, lakini natamani Siku moja niwe tofauti na hivi niliyake. Alieleza Mkuki.

Kijana Jeofrey Mkuki aliwahi kufundisha kama Mwalimu wa kujitolea wa Masomo ya Sayansi kama vile Basic Mathematics na Physics katika Shule ya Sekondari Senge maarufu kama Chifu-Senge iliyopo Singida Mjini Mkoani Singida. Nilipomuuliza kwa nini asiendelee kufundisha, Jeofrey alisema ni Maisha tu yamemvurugia mambo yake na akafikia hatua hii ingawa bado ana wazo la aina hiyo.

Aidha, Jeofrey Mkuki pia ni Mtaalam mzuri wa Computer na wakati nafika Kijijini kwao anakoishi huko Mkoani Singida, nimemkuta akiwa na Computer yake aina ya Laptop HP anayotumia kwa ajili ya Shughuli zake za binafsi.

Kwa Mawasiliano zaidi na Jeofrey Mkuki wa Singida unaweza kupiga Simu yake ya Mkononi 0746440462 au Email: mkukijs@gmail.com

Au unaweza kuwasiliana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi 0745865904.

Francis M. Garatwa,
Kiongozi wa Oparesheni ya Chama,
Jimbo la Singida Mashariki.
Ikungi, Singida - Tanzania.
12 June, 2019.

View attachment 1125671

View attachment 1125673

View attachment 1125675
Anasema alipata ajira kwanini hakuwachukua hao ndugu zake akaishi nao huko alikopata ajira?Haiingii akili kuwa aliacha ajira ili aje kijijini aishi na ndugu zake au alifukuzwa kazi?Pia kama anauwezo wa kufundisha kwanini anaamua kuacha kufundisha na kuuza mkaa? Nadhani huyo kijana ana shida fulani.
 
umeonaaaa heee!!! huyu kwa kweli elimu haijamkomboa kabisa!!! hata aliyepost pia ni mpumbavu kabisa... sasa anapost ili watu wamsaidie mtu ambaye ana elimu ya kutosha?? kama angekuwa labda ni mwanamke labda tungemuonea huruma... sasa kijeba kimekomaa sura kama jiwe leo hii mtu analeta post ya kuoba help ili adaidiwe kweli???
mkuu umeshavuka mto? Au unatukana tuu mamba?,wasomi wengi hawana dira ,mfumo wetu wa elimu ni tatizo kubwa sana,yawezekana alipata mtaji ukaishia kwenye nauli na gharama za interviews,wazo la kwanza ukihitimu unaamini kuna ajira ,interview kibao...cha msingi elimu yetu ifate falsafa ya mwalimu nyerere ya self-reliance and liberation,mwanafunzi awe na kofia mbili ya elimu na yakujitegemea ,wapo walioajiriwa hawawezi kusaidia hata ndugu ,elimu yetu ndio kikwazo,title kubwa ya course ila elimu sifuri
 
Maisha Bwana Nakumbuka Nilivyomaliza darasa la saba na kupata kipaimara,Nilikabidhiwa debe la mbege, baiskeli na toolbox yenye spana kama tano hivi na mshua....Majibu ya second selection yanatoka kuingia form 1..mimi nishajua kishusha gearbox ya scania...nalipa kodi ya chumba na nina demu ndani....Wenzangu wanamaliza form 4 nishakimbia Tanzania Zamani sanaaaa
 
JEOFREY SAMSON MKUKI KIJANA "MSOMI" WA CHUO KIKUU CHA DODOMA ANAYEHANGAIKA KIJIJINI BILA AJIRA.

Alihitimu Elimu ya Chuo Kikuu (University Of Dodoma) Mwaka 2013 kisha akaelekea zake Dar Es Salaam kujitafutia Riziki na baadae akaamua kurudi Kijijini kwao alikozaliwa. Kule UDOM, Jeofrey alisomea (BSc.Telecommunications Engineering) na Vyeti vyake vyote kuanzia Kidato cha Nne hadi Chuo Kikuu anavyo huku Kijijini.

Kijana mwenzetu Jeofrey Samson Mkuki ni Mkazi wa Kitongoji cha Imiga, Kijiji cha Mkiwa, Kata ya Mkiwa, Wilaya ya Ikungi huko Mkoani Singida. Jeofrey Mkuki ni Yatima asiye na Wazazi wake wote wawili maana walishatangulia mbele za haki.

Wakati nafika Eneo anakoishi Jeofrey Mkuki huko Mkoani Singida, niliambatana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi anayeonekana Pichani upande wa kulia. Huko Kijijini, Jeofrey anaishi na Wadogo zake wawili ambao wanamtegemea na anajishughulisha na Vibarua vidogo vidogo ikiwemo kupakia Mizigo kwenye Magari na kuuza Mkaa karibu na Barabara Kuu ya Mwanza to Dar Es Salaam.

Kijana Jeofrey Mkuki ni Mtu mwenye Akili zake timamu na kwa mujibu wa Majirani zake na Viongozi wa Serikali wa Eneo anakoishi akiwemo Mheshimiwa Diwani wa Kata hiyo niliyeambata naye, wanadai hajawahi kupatwa na tatizo lolote la Kiafya, ingawa ukiutazama muonekano wake unaweza usiamini kama ni Kijana mwenye Elimu ya kiwango cha juu kiasi hiki.

Kwa mujibu wa maelezo yake yeye mwenyewe, Jeofrey anasema, "niliamua kurudi huku Kijijini kwa sababu, wadogo zangu hawa bado ni wadogo na kama unavyoona Wazazi wote hawapo, iliniuma sana nikaamua nirudi huku. Huko Mijini nilipata Ajira kwenye Mashirika ya Mambo ya Mawasiliano na nilikuwa nazunguka Mikoani, lakini kutokana na hii familia unayoiona, ndio hivyo tena Mheshimiwa, lakini natamani Siku moja niwe tofauti na hivi niliyake. Alieleza Mkuki.

Kijana Jeofrey Mkuki aliwahi kufundisha kama Mwalimu wa kujitolea wa Masomo ya Sayansi kama vile Basic Mathematics na Physics katika Shule ya Sekondari Senge maarufu kama Chifu-Senge iliyopo Singida Mjini Mkoani Singida. Nilipomuuliza kwa nini asiendelee kufundisha, Jeofrey alisema ni Maisha tu yamemvurugia mambo yake na akafikia hatua hii ingawa bado ana wazo la aina hiyo.

Aidha, Jeofrey Mkuki pia ni Mtaalam mzuri wa Computer na wakati nafika Kijijini kwao anakoishi huko Mkoani Singida, nimemkuta akiwa na Computer yake aina ya Laptop HP anayotumia kwa ajili ya Shughuli zake za binafsi.

Kwa Mawasiliano zaidi na Jeofrey Mkuki wa Singida unaweza kupiga Simu yake ya Mkononi 0746440462 au Email: mkukijs@gmail.com

Au unaweza kuwasiliana na Diwani wa Kata yake ya Mkiwa Mhe.John Siuhi 0745865904.

Francis M. Garatwa,
Kiongozi wa Oparesheni ya Chama,
Jimbo la Singida Mashariki.
Ikungi, Singida - Tanzania.
12 June, 2019.

View attachment 1125671

View attachment 1125673

View attachment 1125675
Yawezekana elimu yake haijatanua ubongo kwa ajili ya maarifa ya kujitegemea,sie wengine tuna videgree vya hukohuko udom lkn niko banyibanyi huku nalima tikiti mambo c mabaya,mwambie jeffrey aendelee kupumzika hapohapo nyumbani atapata tu ajira kama si duniani basi hata mbinguni.
 
Kea wenzetu waingereza ukimaliza kidato cha bne tu ..elimu inakutosha kubuni na kuendesha maisha yako
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom