Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,550
Kutumia bidhaa ya kampuni husika mantiki yako nini Apple ndio kampuni yenye Value kubwa mbona sijawai tumia kitu chao chochote, Dangote Group mbona sijawai tumia kitu chao,Sasa kama faida yake haijulikani, na utajiri wa huyo mtu ni shares anazomiliki kwenye kampuni zake, unajua PR ya kampuni ikitokea ikachafuliwa na watu wakakosa imani na hiyo miradi yake utajiri wake utaporomoka kwa kasi isiyo ya kawaida??
Wewe ni bidhaa gani ya huyo Kaburu Elon unaitumia?? Unakijua kinachoendelea WhatsApp sasa?? Matajiri wa kweli ni akina Carlos Slim akina Ortega