maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,231
- 1,308
Peponi kwenda kufanya nini.... kuimba mapambio?Wote sisi ni watoto wa baba mmoja Adam, na Mungu mmoja, God, Father, The Lord!. Siku yako ikifika, ukifika hukumuni, unaweza kushangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi peponi, halafu Bush, Blair na Obama...ndio wanaogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto wa milele!.
P