tHe NapSTer of Tz
Member
- Mar 30, 2007
- 86
- 1
JF,
Watanzania wengi wanapoamka asubuhi kwenda ofisini, kabla hawajaingia ofsini wanatupa macho yao kwenye vichwa vya habari vya magezeti!!!
Tukiangalia kwa kina tutaona kwamba waandishi wa habari wa Tanzania wananguvu kubwa sana. Yaani mpaka hatari! Waandishi wa habari wamekuwa wakimanipulate habari nyingi na tukizipindua wanavyotaka wao!..
Watanzania wanasoma sana magazeti. Na infact wanaamini sana magazeti!
Waandishi wetu wakobiased ile mbaya!...... Hawa hawa waandishi wanaotuandikia habari za viongozi mafisadi wao wenyewe wengi wao ni mafisadi na wanafanya kazi na hao (hidden) expert fisadis!...
Waandishi ama mass media ni chombo muhimu kwenye jamii!!! Jee tunakubali kutawaliwa na waandishi waongo,mafisadi na wanafki waliokosa uzelendo kazi kuchochea fitna na uhasama baina yetu?
Watanzania wengi wanapoamka asubuhi kwenda ofisini, kabla hawajaingia ofsini wanatupa macho yao kwenye vichwa vya habari vya magezeti!!!
Tukiangalia kwa kina tutaona kwamba waandishi wa habari wa Tanzania wananguvu kubwa sana. Yaani mpaka hatari! Waandishi wa habari wamekuwa wakimanipulate habari nyingi na tukizipindua wanavyotaka wao!..
Watanzania wanasoma sana magazeti. Na infact wanaamini sana magazeti!
Waandishi wetu wakobiased ile mbaya!...... Hawa hawa waandishi wanaotuandikia habari za viongozi mafisadi wao wenyewe wengi wao ni mafisadi na wanafanya kazi na hao (hidden) expert fisadis!...
Waandishi ama mass media ni chombo muhimu kwenye jamii!!! Jee tunakubali kutawaliwa na waandishi waongo,mafisadi na wanafki waliokosa uzelendo kazi kuchochea fitna na uhasama baina yetu?