Jana tumeona na kushuhudia Dr. Slaa akitoa ya moyoni kuhusu Lowassa na Sumaye. Je, Profesa naye atajitokeza na kusema yake kwanini aliamua kujiuzulu uenyekiti wa CUF. Na kama akifanya hivyo hemu tujadili na kubashiri kile atakachosema profesa huyo wa uchumi.