Jee, Nyerere alitaifisha wote? au ali baguwa?

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Wazungu waliokuwa na mashamba makubwa, walirudishiwa thamani ya mali zao, wakiristo waliokuwa wanamiliki zaidi ya nyumba moja, hakuna hata mmoja alietaifishwa. Mabenki ya wazungu, yalirudishiwa mitaji yao!

Jee, Nyerere alitaifisha wote? Au alibaguwa?
 
Dogo DSM, bange bangeni zitakupeleka stepu kauzeni. Wakati wa kutaifisha ulikuwa bado hujazaliwa!
 
Back
Top Bottom