zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Wazungu waliokuwa na mashamba makubwa, walirudishiwa thamani ya mali zao, wakiristo waliokuwa wanamiliki zaidi ya nyumba moja, hakuna hata mmoja alietaifishwa. Mabenki ya wazungu, yalirudishiwa mitaji yao!
Jee, Nyerere alitaifisha wote? Au alibaguwa?
Jee, Nyerere alitaifisha wote? Au alibaguwa?