Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wadau, nauliza:
Jee, hii Tume ya Uchaguzi (NEC) ingekuwa ndiyo imeteuliwa na Mwenyekiti wa Chadamea, badala wa yule wa CCM, jee matokeo ya uchaguzi huu yangekuwaje?
Kwa wale ambao wako tayari kujibu kwamba tume hiyo itaipendelea Chadema, basi hii ita-prove kwamba tume hii siyo huru, au siyo?
Kuna umuhimu ya kuwa na Tume huru kabisa, na siyo ile inayoteuliwa na mwenyekiti wa chama kimoja chini ya mwavuli wa urais.
Jee, hii Tume ya Uchaguzi (NEC) ingekuwa ndiyo imeteuliwa na Mwenyekiti wa Chadamea, badala wa yule wa CCM, jee matokeo ya uchaguzi huu yangekuwaje?
Kwa wale ambao wako tayari kujibu kwamba tume hiyo itaipendelea Chadema, basi hii ita-prove kwamba tume hii siyo huru, au siyo?
Kuna umuhimu ya kuwa na Tume huru kabisa, na siyo ile inayoteuliwa na mwenyekiti wa chama kimoja chini ya mwavuli wa urais.