Nimeshangazwa na kitendo cha mwandishi wa Habari akimtaja dereva aliyesababisha ajali kwa kuanza kutanguliza asili yake kwa kuwa ni Mtanzania mwenye asili ya Kieshia. Nikajiuliza kwanini kwa huyu na wengine hawatajwi kwa asili zao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.