Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Wandishi wameanza kusambaza kile wanachokiamini kinaendelea ndani ya chadema kuwa kinakwenda mpera mpera
na wakati wowote ule kuanzia sasa lolote linaweza kutokea na tusije tukashangazwa,Jee kuna ukweli wowote na habari wanazo towa?Chadema wenywe wamechukuwa hatuwa gani ?nakumbuka jinsi CUF ilivyopigwa vita na wandishi wa aina hiyo na wananchi wengi walikubali na kuamini yaliyokuwa yakiandikwa na hisi na sasa inatumika fomula ile ile zidi ya Chadema.
na wakati wowote ule kuanzia sasa lolote linaweza kutokea na tusije tukashangazwa,Jee kuna ukweli wowote na habari wanazo towa?Chadema wenywe wamechukuwa hatuwa gani ?nakumbuka jinsi CUF ilivyopigwa vita na wandishi wa aina hiyo na wananchi wengi walikubali na kuamini yaliyokuwa yakiandikwa na hisi na sasa inatumika fomula ile ile zidi ya Chadema.