kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,233
- 12,508
Jamaa wakimkumbuka Jecha matumbo yao huwa yanawakata, mate yanawajaa midomoni, usingizi unawapaa na wanashikwa na simanzi la hali ya juu. Jecha ni alama yao ya matumaini yaliyofifia mithili ya jina na sauti ya ndege bundi anapolia juu ya paa la nyumba au kwenye mti uliyoko karibu sana na nyumba ambayo ndani yake kuna mgonjwa anayeshindwa hata kumeza uji. Jecha ni jina linalosababisha jamaa wengi kupoteza matumaini kabisa na wasijue what next, how and for what?. Ama kweli Jecha ataingia kwenye historia zetu za sasa na za vizazi vingi sana vijavyo.
Kama A ilikuwa sawa B na B ilikuwa sawa C lakini A haikuwa sawa C, hapo patakuweje wajemeni 2020?
Kama A ilikuwa sawa B na B ilikuwa sawa C lakini A haikuwa sawa C, hapo patakuweje wajemeni 2020?