kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Nimekuwa kwenye arguments na marafiki zangu nikaonelea siyo mbaya nikashare na Kaka zangu, dada zangu, wakubwa kwa wadogo humu Jf jukwaa la MMU.
Debates yenyewe ni hii, kati ya mwanaume na mwanamke ni nani mwenye wivu sana kimatendo. Kwa upande wangu nionavyo, mwanaume ana wivu sana (kwa walio oa na wasio kuwa wameoa) Hii inaonyesha katika namna nyingi, mifano kutomkubalia mpenzi wake ku associate with guys, Kumfuatilia mwenendo wake physically. Mimi ni mvulana for record ila nimebase kwenye maawazo yangu, Je wewe nini unafikiria?????
Debates yenyewe ni hii, kati ya mwanaume na mwanamke ni nani mwenye wivu sana kimatendo. Kwa upande wangu nionavyo, mwanaume ana wivu sana (kwa walio oa na wasio kuwa wameoa) Hii inaonyesha katika namna nyingi, mifano kutomkubalia mpenzi wake ku associate with guys, Kumfuatilia mwenendo wake physically. Mimi ni mvulana for record ila nimebase kwenye maawazo yangu, Je wewe nini unafikiria?????