Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Tuendelee kujadili na kupanuana upeo wa mambo, ninajaribu kujiuliza kwamba iwapo data base ya makampuni ya simu(tigo,zain,voda n.k) itatumiwa na mafisadi wa kuchakachua kura kwa njia ya technohoma nini madhara yake?
Nakumbuka wengi walisajiri kwa kutumia vitambulisho vya kupigia kura kama .I.D kwa zoezi hilo.Ni vema tujadili hili ili kupata mawazo mbadala ya kudhibiti toka kwa wadau.
Karibu tujadili
Nakumbuka wengi walisajiri kwa kutumia vitambulisho vya kupigia kura kama .I.D kwa zoezi hilo.Ni vema tujadili hili ili kupata mawazo mbadala ya kudhibiti toka kwa wadau.
Karibu tujadili