Elections 2010 Je! Zoezi la kusajiri simu za mkononi halina uhusiano na ufisadi wa kuchakachua kura?

Lu-ma-ga

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
4,780
3,227
Tuendelee kujadili na kupanuana upeo wa mambo, ninajaribu kujiuliza kwamba iwapo data base ya makampuni ya simu(tigo,zain,voda n.k) itatumiwa na mafisadi wa kuchakachua kura kwa njia ya technohoma nini madhara yake?

Nakumbuka wengi walisajiri kwa kutumia vitambulisho vya kupigia kura kama .I.D kwa zoezi hilo.Ni vema tujadili hili ili kupata mawazo mbadala ya kudhibiti toka kwa wadau.

Karibu tujadili
 
Kwani ukipiga kula id yako inatokeza kwenye kalatasi ya kura?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom