Je? Zitto Kabwe ni kibaraka wa awamu ya tano chini ya serikali ya Samia Suluhu Hassan

nyboma

JF-Expert Member
Aug 29, 2021
2,199
6,890
Jumuiya ya kimataifa (wabeberu) wameikalia kooni serikali ya Mh. Samia Suluhu, kwa kutuma mawakala wake kufuatilia kila hatua jinsi kesi ya kubumba (mchongo) inayomkabili Mh. Mbowe na kutuma ripoti kwa kila hatua inavyoendeshwa.

Na wameahidi hakuna kutuma misaada hadi pale watakapomuachia Mh. Mbowe huru na imeonekana kumuachia huru hivihivi itakuwa ni fedheha kwa awamau ya tano chini ya uongozi wa Mh. Samiah Hassan hivyo ikachezwa sinema kibaraka Zitto Kabwe amuombee msamaha kwa Mh. Rais ili ionekane kaachiwa kwa kivuli cha demokrasia.

Hivyo tegemeeni Mh. Mbowe jabali la siasa linalomnyima usingizi Mh. Raisi kuachiwa muda wowote mwanzoni mwa Januari, ila haiondoi kitu katika uongozi huu wa mabavu wa awamu ya tano chini ya Mh. Raisi na ajue fika kajiwekea doa tayari kwa kuwaminya wapinzani.
 
Na wameahidi hakuna kutuma misaada hadi pale watakapomuachia Mh. Mbowe huru na imeonekana kumuachia huru hivihivi itakuwa ni fedheha kwa awamau ya tano chini ya uongozi wa Mh. Samiah Hassan hivyo ikachezwa sinema kibaraka Zitto Kabwe amuombee msamaha kwa Mh. Rais ili ionekane kaachiwa kwa kivuli cha demokrasia.


Mbumbumbu wakubwa nyie, hivi ni wapi Zitto amemuombea MSAMAHA Mbowe kwa Rais Samia??!!--- umesikiliza hotuba ya Zitto au umesimuliwa nawe unakuja kuandika ujinga!!

Zitto kafanya jambo ambalo Chadema mmeshindwa, yeye kamuonba Rais Samia amuachie Mbowe (Mwenzetu mmoja) kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopo na wala hakuomba eti ASAMEHEWE, hili neno msamaha ni Tundu Lissu ndiye analipachika katika post zake ili kumchafua Zitto, kitu alichofanya Zitto ndicho hicho hicho hao Kina Tundu huwa wanakiomba au wanataka kifanyike yaani Mbowe afutiwe mashitaka na Zitto kaomba Mbowe aachiliwe kwa mujibu wa sheria na kanuni na wala hakusena ASAMEHEWE.
 
Alitakiwa amuombe DPP
Mbumbumbu wakubwa nyie, hivi ni wapi Zitto amemuombea MSAMAHA Mbowe kwa Rais Samia??!!--- umesikiliza hotuba ya Zitto au umesimuliwa nawe unakuja kuandika ujinga!!

Zitto kafanya jambo ambalo Chadema mmeshindwa, yeye kamuonba Rais Samia amuachie Mbowe (Mwenzetu mmoja) kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopo na wala hakuomba eti ASAMEHEWE, hili neno msamaha ni Tundu Lissu ndiye analipachika katika post zake ili kumchafua Zitto, kitu alichofanya Zitto ndicho hicho hicho hao Kina Tundu huwa wanakiomba au wanataka kifanyike yaani Mbowe afutiwe mashitaka na Zitto kaomba Mbowe aachiliwe kwa mujibu wa sheria na kanuni na wala hakusena ASAMEHEWE.
 
Mbumbumbu wakubwa nyie, hivi ni wapi Zitto amemuombea MSAMAHA Mbowe kwa Rais Samia??!!--- umesikiliza hotuba ya Zitto au umesimuliwa nawe unakuja kuandika ujinga!!

Zitto kafanya jambo ambalo Chadema mmeshindwa, yeye kamuonba Rais Samia amuachie Mbowe (Mwenzetu mmoja) kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopo na wala hakuomba eti ASAMEHEWE, hili neno msamaha ni Tundu Lissu ndiye analipachika katika post zake ili kumchafua Zitto, kitu alichofanya Zitto ndicho hicho hicho hao Kina Tundu huwa wanakiomba au wanataka kifanyike yaani Mbowe afutiwe mashitaka na Zitto kaomba Mbowe aachiliwe kwa mujibu wa sheria na kanuni na wala hakusena ASAMEHEWE.
Umejiuliza kwanini CHADEMA haijapiga Magoti kuomba msamaha kwa Mama Samiah, sio kupiga tu magoti bali kuhudhuria mkutano wa kuchonga chini ya Mama?

Sababu ni moja tu tunaamini 100% Mwenyekiti sio Gaidi and Forever he'll never be, haki yake itacheleweshwa ila itapatikana kwa struggle na sio Kwaku kulamba miguu ya mtu.
 
Chadema wameshindwa how?Hivi watu mupigwe tobo uwanjani,halafu aliyekupga tobo aonekani umemshinda kwa tobo?
 
Jumuiya ya kimataifa (wabeberu) wameikalia kooni serikali ya Mh. Samia Suluhu, kwa kutuma mawakala wake kufuatilia kila hatua jinsi kesi ya kubumba (mchongo) inayomkabili Mh. Mbowe na kutuma ripoti kwa kila hatua inavyoendeshwa.

Na wameahidi hakuna kutuma misaada hadi pale watakapomuachia Mh. Mbowe huru na imeonekana kumuachia huru hivihivi itakuwa ni fedheha kwa awamau ya tano chini ya uongozi wa Mh. Samiah Hassan hivyo ikachezwa sinema kibaraka Zitto Kabwe amuombee msamaha kwa Mh. Rais ili ionekane kaachiwa kwa kivuli cha demokrasia.

Hivyo tegemeeni Mh. Mbowe jabali la siasa linalomnyima usingizi Mh. Raisi kuachiwa muda wowote mwanzoni mwa Januari, ila haiondoi kitu katika uongozi huu wa mabavu wa awamu ya tano chini ya Mh. Raisi na ajue fika kajiwekea doa tayari kwa kuwaminya wapinzani.
Bibi tarabushi alishasema yeye ni awamu ya shita
 
Hii platform imejaa watu waelewa wengi.mkitaka kupima upepo wa fikra unaelekea wapi angalia comments nyingi znavoshambulia ...mtagundua wengi hawaitaki na hii kesi ni ya kubumba...cheki kwa umakini.
 
Jumuiya ya kimataifa (wabeberu) wameikalia kooni serikali ya Mh. Samia Suluhu, kwa kutuma mawakala wake kufuatilia kila hatua jinsi kesi ya kubumba (mchongo) inayomkabili Mh. Mbowe na kutuma ripoti kwa kila hatua inavyoendeshwa.

Na wameahidi hakuna kutuma misaada hadi pale watakapomuachia Mh. Mbowe huru na imeonekana kumuachia huru hivihivi itakuwa ni fedheha kwa awamau ya tano chini ya uongozi wa Mh. Samiah Hassan hivyo ikachezwa sinema kibaraka Zitto Kabwe amuombee msamaha kwa Mh. Rais ili ionekane kaachiwa kwa kivuli cha demokrasia.

Hivyo tegemeeni Mh. Mbowe jabali la siasa linalomnyima usingizi Mh. Raisi kuachiwa muda wowote mwanzoni mwa Januari, ila haiondoi kitu katika uongozi huu wa mabavu wa awamu ya tano chini ya Mh. Raisi na ajue fika kajiwekea doa tayari kwa kuwaminya wapinzani.
Wewe hujaisikiza hotuba ya zito kwahiyo unapotosha utakuwa ni kaiazi wewe
 
Bibi tarabushi alishasema yeye ni awamu ya shita
Watanzania walimpigia kura Hayati Magufuli hivyo tunahesabu yeye ni Raisi wa awamu ya tano chini ya serikali yake…

Tutamhesabia awamu akiligiwa kura na wananchi…
 
Mbumbumbu wakubwa nyie, hivi ni wapi Zitto amemuombea MSAMAHA Mbowe kwa Rais Samia??!!--- umesikiliza hotuba ya Zitto au umesimuliwa nawe unakuja kuandika ujinga!!

Zitto kafanya jambo ambalo Chadema mmeshindwa, yeye kamuonba Rais Samia amuachie Mbowe (Mwenzetu mmoja) kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopo na wala hakuomba eti ASAMEHEWE, hili neno msamaha ni Tundu Lissu ndiye analipachika katika post zake ili kumchafua Zitto, kitu alichofanya Zitto ndicho hicho hicho hao Kina Tundu huwa wanakiomba au wanataka kifanyike yaani Mbowe afutiwe mashitaka na Zitto kaomba Mbowe aachiliwe kwa mujibu wa sheria na kanuni na wala hakusena ASAMEHEWE.
Kuna mahali kwenye katiba au sheria za makosa ya jinai Rais anaweza kumsamehe mtuhumiwa?
 
Jumuiya ya kimataifa (wabeberu) wameikalia kooni serikali ya Mh. Samia Suluhu, kwa kutuma mawakala wake kufuatilia kila hatua jinsi kesi ya kubumba (mchongo) inayomkabili Mh. Mbowe na kutuma ripoti kwa kila hatua inavyoendeshwa.

Na wameahidi hakuna kutuma misaada hadi pale watakapomuachia Mh. Mbowe huru na imeonekana kumuachia huru hivihivi itakuwa ni fedheha kwa awamau ya tano chini ya uongozi wa Mh. Samiah Hassan hivyo ikachezwa sinema kibaraka Zitto Kabwe amuombee msamaha kwa Mh. Rais ili ionekane kaachiwa kwa kivuli cha demokrasia.

Hivyo tegemeeni Mh. Mbowe jabali la siasa linalomnyima usingizi Mh. Raisi kuachiwa muda wowote mwanzoni mwa Januari, ila haiondoi kitu katika uongozi huu wa mabavu wa awamu ya tano chini ya Mh. Raisi na ajue fika kajiwekea doa tayari kwa kuwaminya wapinzani.
NDIO NDIO
 
NDIO NDIO
Mama ana hali ngumu sana ila nachompendea ni jasiri nampa heko kwa hilo, Mama ana moyo mgumu kama Simba sijawahi kufanya na mzanzibari mwenye roho ngumu kama Mama.

Wazanzibari ni goigoi ila huyu Mh. Raisi ni jemedari..
 
Mama ana hali ngumu sana ila nachompendea ni jasiri nampa heko kwa hilo, Mama ana moyo mgumu kama Simba sijawahi kufanya na mzanzibari mwenye roho ngumu kama Mama.

Wazanzibari ni goigoi ila huyu Mh. Raisi ni jemedari..
Kamanda mbona unasifia tena
 
Back
Top Bottom