Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
Mimi ninashindwa kuelewa! kama kuna mtu ana uzoefu wowote kuhusu hakimiliki aje atuambie hapa! sababu kila siku ukisikiliza hii kesi ya ze komedi utakuta hakuna kinachoendelea zaidi ya kuoshwa macho na bongo zetu!
Sasa je ? hao ze komedi wamenunuliwa na mafisadi ama wamenyamazishwa? kipi ni kipi?
Pia nimepata hii clip ambayo ninadhani mpoki alikuwa akimuongelea Rost Tamu Mazizi! na Ajali zingine kubwa kubwa! Tah! tah! tah!
Bonyeza hapa
Sasa je ? hao ze komedi wamenunuliwa na mafisadi ama wamenyamazishwa? kipi ni kipi?
Pia nimepata hii clip ambayo ninadhani mpoki alikuwa akimuongelea Rost Tamu Mazizi! na Ajali zingine kubwa kubwa! Tah! tah! tah!
Bonyeza hapa