watoto wa nyerere akuna hata mmoja ambaye nimewai kusikia kuitaji kugombea kiti cha uraisi, tofauti na wa karume au walishatangaza nia sema nilikuwa mdogo nisaidieni kujua wana jf
watoto wa nyerere akuna hata mmoja ambaye nimewai kusikia kuitaji kugombea kiti cha uraisi, tofauti na wa karume au walishatangaza nia sema nilikuwa mdogo nisaidieni kujua wana jf
Siku watakayokuwa wako karibu na mafisadi basi uwezekano upo wa hilo kutokea.
Itakuwa rahisi kwao kupandishwa chat, kupewa vyeo kwenda juu...lakini vyenginevyo kwa muelekeo wa siasa za TZ, ndio imetoka.
Pia wakianzisha chama chao na kutumia umaarufu wa babayao na itikadi na misimamo aliyoisimamia basi wanaweza kupata wafuasi wengi na pengine wataweza kugombania Urais wa TZ.
Kikatiba kila Mtz anayohaki ya kugombania nafasi hiyo anapotimiza masharti..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.