Je, yapaswa mishahara ya viongozi wetu wa kisiasa kujulikana kwa umma?

NewPage

JF-Expert Member
Mar 22, 2021
1,281
2,020
Kuanzia Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya n.k na hasa wale wanaopata uongozi kwa kura zetu - je si ni haki yetu rais kujua mishahara yao?
 
Ni haki yetu..mana wanaishi kwa kodi zetu..kuficha mishahara yao ni dalili moja wapo ya upigaji..wizi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app

Na ili iake vizuri, zifutwe nafasi za kuteuana uanzishwe utaratibu wa ma RC, DC Mawaziri, ma KM, ma DED kuomba kazi wanapata interview kupitia TBC wanajadiliwa kwenye public kulingana na utendaji wao ndipo wapangiwe vituo
 
So ni vizuri public ikajua na pengine hata kuamua walipwe shilingi ngapi?
hilo suala la kuamua walipwe shingapi haliwesekani. unajua why?
uta viongoz wanaochaguliwa ndio wameasis na hakuna ambae atakubali hilo.

mshahara ni siri btn muajiri na muajiriwa. ndio maan serikal inapotangaza nafasi yoyote wanaweka code. si mshahara
 
...Huwa siishwi kushangazwa, hivi inakuwaje mtumishi uliyemuajiri kwa kura na kodi yako mwenyewe, mshahara wake uwe siri kwako wewe muajiri wake??
 
hilo suala la kuamua walipwe shingapi haliwesekani. unajua why?
uta viongoz wanaochaguliwa ndio wameasis na hakuna ambae atakubali hilo.

mshahara ni siri btn muajiri na muajiriwa. ndio maan serikal inapotangaza nafasi yoyote wanaweka code. si mshahara
...zso, mshahara ni siri kati ya Muajiri na Muajiriwa huh?
Sasa mbona mimi muajiri ninayemuajiri raisi kwa kura na kodi yangu sijui anacholipwa ????
 
Napendekeza wanasiasa walipwe kulingana na Taaluma zao ili kuleta usawa !!!! Yan kama mbunge fani yake ni dactor tuangalie mshahara wa dactor wa serikali
 
hilo suala la kuamua walipwe shingapi haliwesekani. unajua why?
uta viongoz wanaochaguliwa ndio wameasis na hakuna ambae atakubali hilo.

mshahara ni siri btn muajiri na muajiriwa. ndio maan serikal inapotangaza nafasi yoyote wanaweka code. si mshahara
Kwa mtazamo wako unaona je iwe siri au hadharani wewe unasemaje kuhusu hili?
 
Kuanzia Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya n.k na hasa wale wanaopata uongozi kwa kura zetu - je si ni haki yetu rais kujua mishahara yao?
siku ukijua hiyo kiasi mtaandamana na huta amini ndio wal wabunge WABAKULA MILIONI 15 ALAFU HAWANA SWALI KWA WAZIRI MKUU, YANI HATA KUULIZIA KIWANDA CHA TOOTHPICK KWANINI KISIJENGWA IRINGA KWENYE MITI hawana.
 
Not fair kwanini watumishi wengine mishahara yao inakuwa hadharani kama walimu madaktari n.k halafu wengine inafichwa kuna kitu gani kinafanya ifichwe
walimu na madaktari mishahara yao huwa inatangazwa public? wanapotoa tangazo la kazi kuwa wanaaindika codes au hela plain?

mfano mwalimu wa degree ana TGTS D1.
watu wa afya nao wana TGHS A1,C1,B1,D1 mapaka 8.

check your facts.
 
Kuanzia Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya n.k na hasa wale wanaopata uongozi kwa kura zetu - je si ni haki yetu rais kujua mishahara yao?
Rais alisema wake ni 9.5 mill
Hao wengine wa chini kadiria kutoka hapo kushuka
 
siku ukijua hiyo kiasi mtaandamana na huta amini ndio wal wabunge WABAKULA MILIONI 15 ALAFU HAWANA SWALI KWA WAZIRI MKUU, YANI HATA KUULIZIA KIWANDA CHA TOOTHPICK KWANINI KISIJENGWA IRINGA KWENYE MITI hawana.
Hahaa! CCM wanatukosea sana wananchi
 
ibaki kama ilivyo. maana hata ukijua hakuna kitu utaweza fanya.
Sio tu uwe hadharani, awe wa kwanza kulipa kodi. Nchi pekee ya hovyo duniani, wanaopaswa kulipa kodi hawalipi, wanaopaswa kushitakiwa hawashitakiwi. Mtu anasema ninyi nitawalinda kama vile anamiliki silaha za ulinzi na yuko huru kabisa
 
Back
Top Bottom