white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,307
- 13,269
Sio kwamba haukuonekana!!Kwani mkuu si ripoti ya CAG, ya 2019/2020 ndio iliweka wazi ubadhirifu huo?nitajie ni nani alifukuzwa jukwaani kutokana na ufisadi na mwisho wake akafikishwa mahakamani na kufungwa?!!ni ripoti ipi ya CAG, toka mwaka 2015, iliyowekwa wazi?huyo kakoko na huo ufisadi wa karibu bilioni 4, ilikuwa ni awamu ya ipi?kuna gazeti /tv yoyote ingeweza kuandika ufisadi ?magazeti ya mwanahalisi, tanzania daima yako wapi??ninachoweza kusema MUNGU FUNDI.Unaandika kama mtu asiyejua sababu ya JPM kuchukiwa na waajiliwa wa serikali. Tangu siku yake ya kwanza JPM aliwafinya Wizara ya fedha na BOT. Bandarini na makontena, TRA, nk. Sasa kama upigaji ulikuwepo ni sawa, kwamba haukuonekana, lakini hadithi za kuzuiwa kuusema ni hisua zako binafsi bila ushahidi.
Watu walifukuzwa hadi majukwaani. Wengine wakalalama eti wezi wafukuzwe kwa staha! Ikaitwa ni uonevu. Nadhani umeshindwa kukumbuka yaliyofanyika, ukatunga yasiyokuwepo