Je, wezi wa Wizara ya fedha wameshafahamu aina ya Rais tuliyenaye?

Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi. Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.

Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.

Wacha wajichotee mbona kina HALIMA Mdee na GENGE lake Wanaiba Mishahara?
 
Kwani mkuu lini wizi uliisha?kama ungekuwa umekwisha ripoti ya CAG, isingekuwa vile ilivyo kwa 2019/2020!sema tu ilikuwa ni marufuku kuu ripoti, kwa kumuogopa jiwe, hivyo watu wakaaminishwa kuwa hakukuwa na pesa ya serikali iliyoibiwa!!sasa awamu ya sita inaamini ktk uwazi ndio maana mtaanza kusema hivyo kuwa hawamuogopi kumbe ni uwazi ambao jiwe hakuupenda!!kinachotakiwa hao wabadhirifu ikibainika kweli wamekula pesa ni adhabu kali sana wapewe.Tena hakuna kipindi ambacho pesa imeliwa kama cha awamu ya tano kwa taarifa yako.yaani ingetokea ikafanyika special audit ya miaka 5, iliyopita watu watazimia kwa kutoamini ubadhirifu mkubwa wa pesa.

Watu wanalinganisha ukimya wa kuripoti matukio na matumizi mazuri ya fedha ambayo siyo sahihi.
 
Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi. Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.

Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.

Kama waziri anasema wameanza tarehe 30 march basi wamekua rais tuliyenae ni DHAIFU
 
Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi. Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.

Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.

Mama na soft language, watu wanajichotea mahela tu.
 
Kipindi cha JK watu walitafsiri vibaya Slogan ya Maishabora Kila Mtanzania.Watu walitafuta Maisha bora kwa njia ovu alimradi tuu wawe na maishabora na wala hawakukemewa kwa vitendo.Kipindi cha awamu ya Tano chini ya Jembe letu JPM hayat,walidhan business as usual.Mfano majambazi walipora pesa wakati wanakimbia walishout Hapa Kazi Tuu .Weeeh ujambaz ukabaki historia kwan walikemewa kimyakimya .Sasa Slogan ya Kazi Iendelee watu waelimishwe kwa vitendo wasije wakadhan wameambiwa sasa ufisad uendelee.
Mama na soft language, watu wanajichotea mahela tu.
 
Dotto James amekula hii nchi sana kwa miaka mitano ilikuwaje. Na waziri mkuu anasema hapo bado kuhamisha pesa za miradi. Tatizo katibu mkuu alikuwa anapigiwa kifua na Hayati hivyo hakuna aliyesubiri kuhoji Mama Samia tumshukuru kwa kuagiza uchunguzi yaani haya ni machache kwenye uchunguzi huu ndiyo tunaita mfumo yaani Hayati hakutaka wizara hii ichunguzwe
Wewe una ushahidi wowote kuhusu hilo au unaamini ngonjera za Kigogo? Unaweza kushangaa muda mfupi tu baada ya Dotto James kuhamishwa wizara tunaanza kuona madudu ndani ya wizara kuhusu ufujaji wa fedha.
 
Hii ofisi nayo kama iko kisiasa zaidi huwa inamfavor yule aliyemweka madarakani na mara nyingi sio wakweli!
na katika hili hata Professor Assad aliingia mtego huu wakati wa Kikwete hakuzungumza mabaya awamu ya tano akayaona mabaya.
huyu mwingine woga wa kukosa kazi na tamaduni za kujikombakomba zinafanya pia aponde kila kitu.
njaa bado ni tatizo kwa taaluma zetu!

Tafuta reports za CAG Prof Assad enzi za Kikwete uone ubadhirifu ulivyokuwa unaanikwa

Na reports za Assad enzi za Kikwete ndio zilipelekea alipoingia Jpm madarakani akaanza kupiga kwenye angle ya watumishi hewa maana Assad alianika upotevu wa takribani 3bl kwa mwaka

Uzuri wa Kikwete aliacha taasisi kama hizi ziwe huru, ndio maana ikamuwia rahisi Jpm kujua aanze kudili na angle zipi zenye ufisadi na upotevu wa kodi zetu wananchi
 
Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi.

Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.

Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.

Rais SSH yuko vizuri. Yeye kaibiwa na kagundua kabla hata ya CAG kukagua mahesabu. Kuibiwa huwezi kuzuia bali kutambua wizi ndiyo akili

Lakini huyo Mwendazake wenu alikuwa anaiba yeye na genge lake halafu CAG akihoji anamfukuza kazi.

Sukuma Gang, mtahangaika sana kutafuta kasoro
 
Back
Top Bottom