mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Inabidi nipite hapo darajani GentamycineWengine Kazi zetu Kubwa ni kuwa Madaraja ya Watu Kufanikiwa Kimaisha iwe kwa Kuwasaidia Kiuwezo au Kiushauri ila baadae tunadharaulika tu.
Inabidi nipite hapo darajani GentamycineWengine Kazi zetu Kubwa ni kuwa Madaraja ya Watu Kufanikiwa Kimaisha iwe kwa Kuwasaidia Kiuwezo au Kiushauri ila baadae tunadharaulika tu.
1. Hakuna dhambi common kama uongoDistance yourself from people who:
1. Lie to you
2. Disrespect you
3. Use you
4. Put you down.
Niunganishie magumash na traMagumashi
Ova
Product developmentWakuu, Nimeona nilete hii Mada hapa naamini Itatusaidia Wengi sana. Kama kuna kitu unaamini unakijua, na kukielewa kiundani, iwe kielimu au kwa uzoefu! ningependa ukiweke hapa na mtu anaweza kukuuliza swali ukamsaidia chochote kile
Mimi Nafahamu Kidogo kuhusu;
1: Ujenzi, Architecture, Biashara na Connection
2: Nina uzoefu kwenye ushauri wa Ndoa, Mahusiano, Biashara na maisha ya kupambana
3.kubadilisha nafasi kuwa hela,kuweka bidhaa mpya sokoni, bible history kidogo...na crime in general
Tukubaliane kusiwe na masihara tutasaidiana sana
Yaani wewe!!!!Magumashi😂😂😂
Ova
Hko sahv hakuna magumashiNiunganishie magumash na tra
Hata magumashi zina majina na taalumaKweli Mm magumashi mwanzo mwisho
Ova
Bora umesema ukwel..ebu tuambie ume watapeli nn.na njia zipi unazotumia kuwatapeli..Kusema kweli kwenye utapeli niko vizuri
Nimewaliza Sana wanaume wa mikoani pale sokoni karume
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Popote tu sahvi ngoja siku itoke nkutie ndimuHata magumashi zina majina na taaluma
Haya wewe magumashi zako unafanyia pande zipi
Kha hizi lugha zenu nazo karibu zinanitupa mkono🤣🤣🤣Popote tu sahvi ngoja siku itoke nkutie ndimu
Longolongo nyingi nipige hela yako
😂😂
Ova
Kuna Kazi ipo mahali wewe tuu
Unafanyaje haahaa umejua kunichekeshaKusema kweli kwenye utapeli niko vizuri
Nimewaliza Sana wanaume wa mikoani pale sokoni karume
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Karibu sana Mkuu na bahati nzuri wengine tulivyoumbwa na Mwenyezi Mungu pamoja na taabu na shida zote lakini bado tunapenda Kusaidia Watu.Inabidi nipite hapo darajani Gentamycine