MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,131
- 3,911
Kuna watu huwa wanaosema celebrity fulani ndio role model wangu au utasikia mtu flani ndio mentor wangu.
Hajamfahamu tu side B yake ilivyo.Watu ni wanafiki sana na good pretenders hasa hawa wenye majina makubwa.Unakuta mtu ana jina kubwa kumbe ni jihuni tu lenye sura mbili.Uliza watu kama receptionists au mameneja wa hotel au madereva utawajua jinsi mamentor au role model walivyo wanafiki kwa uchafu wanaofanya wakiwa kwenye uhalisia wao wa maisha.
Hajamfahamu tu side B yake ilivyo.Watu ni wanafiki sana na good pretenders hasa hawa wenye majina makubwa.Unakuta mtu ana jina kubwa kumbe ni jihuni tu lenye sura mbili.Uliza watu kama receptionists au mameneja wa hotel au madereva utawajua jinsi mamentor au role model walivyo wanafiki kwa uchafu wanaofanya wakiwa kwenye uhalisia wao wa maisha.