Je! Wewe ni Mvivu wa Kusoma BIBLIA/QURAN? Hii hapa habari Njema kwako.

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Jan 29, 2013
1,287
483
Je! Wewe ni Mvivu wa Kusoma Vitabu vya Mungu(Biblia au Quran)!?

Pata AUDIO MP3 Biblia ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Quran) zikiwa kwenye Original/Genuine(SunDisk) Flash/MemoryCards Ujazo tofauti na uweze kusikiliza/jifunza Neno la Mungu Wakati una endesha GARI barabarani au ukiwa Nyumbani umepumzika.

Kwa kutumia Memory Card yako utaweza kupata neno la Mungu kwenye simu yako ukiwa kwenye Daladala au shughuli zako Binafsi bila ya kuwabughudhi wengine huku ukitumia Headphones.
Kumbuka kumjua Mungu ndio chanzo cha Maarifa.

Piga simu uletewe saizi/ujazo na Idadi uitakayo popote ulipo. Hata wa Mikoani pia huduma hii inapatikana. Usikose FURSA hii ya kujifunza Maandiko ya Mungu kwa Kusikiliza. Kwani hata "MITUME WA MUNGU" Mafundisho yao walitumia Fasihi Simulizi.

Flash
4GB= Tsh20,000
8GB= Tsh25,000
16GB= Tsh30,000
32GB= Tsh50,000

MemoryCards
4GB= Tsh20,000
8GB= Tsh25,000
16GB= Tsh30,000
32GB= Tsh50,000

Kwa Maelezo piga

***************************
 
Hiyo bible iko kwa kiingereza Au Kiswahili na Kama kiingereza ni version gani ya bible?
 
Back
Top Bottom