Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,451
- 4,367
Kwa mila za zamani mkubwa akifariki basi yule mdogo mume analithi yote aliyokua nayo mkubwa. Hivyo wewe hapo unahitajika kusimama katika nafasi ya marehemu..
Wewe si mzaliwa wa kwanza ila unabaraka za mzaliwa wa kwanza aliyetangulia. Simama katika nafasi yako sasa
đź‘ŤShukran kwa ufafanuzi