Imani gani tena hii, mbona unapenda sana kujishusha. Huyo Yesu alizaliwa alikuta kuna watu hapa duniani na binadamu wa kwanza hapa duniani ni Mwafrika, ulikuwa hujuwi hili?Umeelezea vizuri ila kwa wakristo, mzaliwa wa kwanza ni Yesu na sisi wote tunakuwa wazaliwa tunaofuata , kwaiyo ukimwamini kristo unakuwa huesabiki km mzaliwa wa kwanza .
Huko nyuma wadau wametiririka kuhusu jambo hili. So would you like to surf through au nikujibu tu kiongoziUnakuta mtu ni wa kwanza ila nyuma ya pazia mimba kama 4 zimeshachomolewa na bi mdashi wake,inawahusu nao wa kwanza wa aina hii??
Uzi ushakuwa mrefu sana,kama hutojali mkuu niwekee direct link ya majibu yao au nijibu tu mkuuHuko nyuma wadau wametiririka kuhusu jambo hili. So would you like to surf through au nikujibu tu kiongozi
Jamaa mbishi kama kawaida yako ubishi. Masuala ya Imani hayajadiliwi wala kuthibishwa kwa history au SayansiImani gani tena hii, mbona unapenda sana kujishusha. Huyo Yesu alizaliwa alikuta kuna watu hapa duniani na binadamu wa kwanza hapa duniani ni Mwafrika, ulikuwa hujuwi hili?
You need to know History ili ujuwe dini vizuri la sivyo utabaki kuwa mjinga tu wa kujiaminisha upuuzi usio na mashiko kichwani mwako kama ulivyo hivi sasa.Jamaa mbishi kama kawaida yako ubishi. Masuala ya Imani hayajadiliwi wala kuthibishwa kwa history au Sayansi
Soma kwanza History umalize ndipo nitaleta hoja. Nina imani ukimaliza kusoma utajitambua kiakili.Luckily naipata history kiasi chake... Lete hoja
Sorry kuchelewa kukujibu... Natumaini yule aliyezaliwa ndio atakuja kua mzawa wa kwanza..kesi hiyo ni sawa na kesi ya mtu kufanya master. Bado aliyezaliwa ndio atachukua status hiyo.Uzi ushakuwa mrefu sana,kama hutojali mkuu niwekee direct link ya majibu yao au nijibu tu mkuu
👏👏😘Natafuta maombi ya kikatoliki zaidi kuliko hayo mengine
SijafanikishaVipi ulifanikisha???