The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 83
- Thread starter
- #21
mkuu huogopi matapeli?
mkuu nitaweza kuwachuja endapo watajitokeza......
mkuu huogopi matapeli?
Wewe unamiaka mingapi?
Toa na namba ya sim.
Ni mwanaume mwenye kujali na pendo la dhati. Nina jali na kuthamini hisia za wengine.
No kongosho nimejaribu kuonesha zilzobeba nyingine zote!
[/COLOR]
Uzuri umemtafuta mwenye miaka 18-21 atakuelewa sana hapo pekundu, si unazijua akili za tamthiliya jumlisha fesbuku!?
Kila la kheri mkuu..
mh kweli iko kazi atch cv zako na picha hapa na barua 7 za majirani zako wanakuonaje unasifa za kupata vyote au ndo kujidai hapa kumbe mchafu wa tabia
Najiamini ngoja ntafuata ushauri wako kwa umakini sana
vizuri mtoto fata yote
Mimi ni kijana mtanashati mwenye moyo wa upendo pamoja na ukarimu, nimeona vema kumtafuta mchumba kwa njia ya mtandao huu wetu kwani ni sehemu ambayo wengi wapo ktk uhuru na kujiamini zaidi. Hivyo basi kama dada, msichana unajiamini na una sifa angalao 70% basi jiskie mwenye bahati kwa kunitafuta kwa njia ya email.
SIFA
1. Uwe mwenye upendo na ukarimu kwa wote bila ubaguzi
2. Akili na uwezo wa kufanya maamuzi magumu ktk maisha (risk taker)
3. Uwe mcha Mungu ktk Kristo
4. Uwe na uwezo wa kuridhika na kidogo upatcho maishani
5. Mvumilivu ktk ugumu wa maisha na matatizo ya hapa na pale
6. ***usiwe na mahusiano na mwanaume mwingine toka mwanzo.
7. Uwe na umbo lenye wastani (mrefu na mnene wa wastani)
8. Rangi siyo kigezo ila usafi utakuongezea nafasi kubwa mno
9. Usafi wa mwili na mavazi ni moja ya sifa kuu
10. Mwisho kabisa kama upo udsm au ndo unajiandaa kuingia utapata bonasi ya 10%
i wish you good luck. Tumia email hii kunitafuta rainchris02@gmail.com
mh kweli iko kazi atch cv zako na picha hapa na barua 7 za majirani zako wanakuonaje unasifa za kupata vyote au ndo kujidai hapa kumbe mchafu wa tabia
wee umeorodhesha sifa 10, zako umetaja 2 tu tena baada ya kuulizwa.
Unajua hapa unaonyesha dalili zipi? Selfishness.
Ha ha haaaa...nimeipenda hii..reference kila mahala manake..kama benki au daftari la sensa tu
mh kweli iko kazi atch cv zako na picha hapa na barua 7 za majirani zako wanakuonaje unasifa za kupata vyote au ndo kujidai hapa kumbe mchafu wa tabia