Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana shaka nitajongea!tembelea ofisi ilo karibu na wewe kama kweli wewe uko tayari kukomboa nchi!
...pamoja sana kamanda...mimi pia ni mwanachama hai wa chama makini CHADEMA,kadi yangu ya uanachama nilikabidhiwa na mweshimiwa Zitto Kabwe ktk viwanja vya Sahara(5/12/2008) kipindi kile alipokuwa amefukuzwa bungeni kuhusiana na ile issue ya Buzwagi,nimejiandisha ktk tawi la CDM Pasiasi..."UKWELI NI UHURU"...Mimi ni mwanachama wa CHADEMA nilijiunga pale PANSIASI MWANZA mwaka juzi....najivunia kushawaishi vijana 12 kujiunga na CHADEMA.....na wameonyesha kuwa hawakujiunga kunifurahisha,wako hai kabisa na wanaendelea kuvuta wengine......
sio kweliWengi ni mashabaki tu au unaweza kusema bendera huata upepo.
Ipo siku utakuja kuujua ukwelisio kweli
Mashabiki katika siasa si wa kupuuzwa hata kidogo!
Nao ni engine inayo fanya chama kishinde chaguzi mbalimbali,hivyo kupata nafasi ya kuunda serikali na kutimiza ilani yake!
Kwa mfano,CCM ina miaka zaidi ya 50(ukijumuisha Tanu Na ASP) Lakini kina wanachama wasio zidi mil 5!
Mimi nashauri watanzania wote kwa umoja wetu tuisapoti cdm kwani ndio chama makini kwa sasa!
Mungu ibariki Tanzania.
Hii ni thread nzuri sana. Mimi ni mwanachama hai tangu 2004. Jambo moja ambalo ninajifunza ni kwamba, sisi CDM tunajiandaa kuichukua nchi. Hii ndiyo azma ya chochote cha siasa. Lakini ndugu zangu, ili tuichukue nchi, lazima system yetu iwe kamili. CHADEMA ina pendwa na watu wengi sana. Wanachama na wapenzi wa CDM ni watu wenye upeo mkubwa wa kuelewa. Rai yangu kuwa, kwa majibu haya machache ambayo nimefuatilia kwenye thread hii, haya siyo ya mambo ya kujifurahisha. We must show our seriousness, kama kuna matatizo kwenye matawi yetu, tuwahimize viongozi wetu, kila mtu ajiorodheshe kwenye register ya wananchama na kama kadi hazipo, asubirie. This is not a joke. Hatuwezi kuxhukua nchi kama system yetu haikukamilika.