Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Me nalala na jeans, sweta na kofia, chini nakandamizia travolta.
Minguo ya nini kwanza mnapata shida mnapotaka kula tunda. Mimi na wife huwa tunalala kama tulivyozaliwa ila hii ni hatari maana likitokea sekeseke kama la majambazi kuna dalili ya kutolewa nje bila nguo
Me nalala na kanga
Kama vile miee....!!!!na joto hili lote kujikabakaba kwa nn???
Me nalala na kanga
Me nalala na kanga
Anavaa suti. Si unajua ana mahelaaaa kama rutherford wa natalia?
Me nalala na jeans, sweta na kofia, chini nakandamizia travolta.
Unaifungaje hiyo kanga mimi nijuavyo lazima utabaki mtupu pale unapojigeuza
We ndo kama mimi, nikijiegesha na upande wa khanga ndo nakuwa comfortable zaidi! (lol.....nimevamia topic ya wenyewe)
Matatizo ya kuishi uswazi kaka mida yote mtu anakuwa tayari kukurupuka ili akakamate vibaka...