FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,012
- 40,681
Hawa wenye vituo vya kujazia mafuta, Unakuta mtu anafanya paving na gardening hadi kwenye mtaro kabisa wa barabarani ambapo ndio kuna road reserve, hivyo si mali yake.
Cha ajabu ukienda kupaki gari kwenye hilo eneo anataka akufukuze, leo kuna mmoja nimemnyoosha kisawasawa, nikamwambia aonyeshe beacon ya kiwanja chake ilipo,
akatepeta na kuondoka.
Cha ajabu ukienda kupaki gari kwenye hilo eneo anataka akufukuze, leo kuna mmoja nimemnyoosha kisawasawa, nikamwambia aonyeshe beacon ya kiwanja chake ilipo,
akatepeta na kuondoka.