Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,127
- 6,764
Waulizwe you tube ndio wanaelewa.Inawezekana wameondoa forgery.Jana views walikuwa 781 k now ukiangalia unakuta 741k unazungumjiaje hili suala kwa maoni yako?
Waulizwe you tube ndio wanaelewa.Inawezekana wameondoa forgery.Jana views walikuwa 781 k now ukiangalia unakuta 741k unazungumjiaje hili suala kwa maoni yako?
Hana ubavu wa kutoa ngoma kila wakati!nimeona wengi wakisema wameishia njiani. Jamaa kachemka kwakweli kama ndio ivyo. Bora awe anatoa nyimbo kila siku kuliko kukaa muda mrefu halafu unakuja toa yai viza kila mtu anakimbia.
Jamaa kutojiamini, kujiona yupo juu na majivuno ndio kunazidi kumdidimiza.Hana ubavu wa kutoa ngoma kila wakati!
Atabaki kuwadanganya misukule wake kwamba kutoa ngoma kila wakati ni kutojiamini kumbe ukweli ni kwamba, kutotoa kila wakati ndo kutojiamini kwenyewe manake kila wakati ukifikiria ngoma inaweza kubuma; unaacha kutoa!!!
Fagio linapita huko youtube.Mchana kwenye mida ya saa 8,video ilikuwa na views 788k,sasa hivi saa 06:50 views zipo 759k,kwani kimemsibu nini.
Ina maana hii ni mara ya kwanza kwako kuona au kusikia suala kama hili?!Jana views walikuwa 781k now 741 k unazungumjiaje hili suala kwa maoni yako?au umeandika kiushabiki hujaingia Youtube
Frozen view count
On some videos, the view count might seem frozen or not show all the views that you expect. Video views are algorithmically validated to maintain fair and positive experiences for content creators, advertisers, and users. To verify that views are real and accurate, YouTube may temporarily slow down, freeze, or adjust the view count, as well as discard low-quality playbacks.
Akili zako zipo matakoni
Pamoja na promo ya masaa 18 CMG plus kuilipa instagram kwa ajili ya promo lkn kachemka.Jamaa inabidi atulie alafu hii ni moja ya sign mbaya kwa biashara yake ya MOFAYA.Alikuwa anawapiga wenzake vijembe kuwa wananunua views,kumbe yy ndiye mnunuaji,dah king kaibika.Fagio linapita huko youtube.
Kama namuona baraka anavyocheka huko alipo
Album ya A Boy from Tandale ingeflop isingeshika no 1 itune kenya kwa muda wa wiki 2+,ila sio mbaya naona dada kaamua kuokoa jahazi lkn kijana anahali mbaya,ngoja tuone labda views zitadouble ndani ya siku moja.Sasa hapa hili boko ndio angelitoa Diamond Mange angeliongelea mwezi mzima.Dada ake kaona amteteeView attachment 776383
Tuanze na wewe ulivopotea na mimi nikaenda nchi za mbali....Hvi lynne ulisafiri?
Unafikiri wasanii wengine hawajaumia kuona King anapewa siku nzima tenza vipindi vyote vya radio na tv yeye tu what is so special with him....ndo mana wameamua kumkazia coz.....hapo ndo ajue kuwa Move za Ruge ni za kichonganishi zaidi...Apambane na hali yake tu...na safari hii hata wasanii wenzie wengi wamemute.
Wimbo tokea jana unapiga Mark time pamoja na promo ya masaa 18 CMG,wamelipia promo insta lkn limegoma,ngoja tuangalie labda Mange ataokoa jahazi na wafuasi wake waliomsaliti kipindi kile cha maandamanoMange kaingilka kati hahahah
Tuanze na wewe ulivopotea na mimi nikaenda nchi za mbali....
Mic u though
Nipo sema tuuu mambo napitaga kusoma soma mara chache chache
Kitu kimoja ni dhahiri kwa wafuasi wa Diamond: Alikiba kupewa airtime na media inawauma mno! Hivi mnadhani hao Clouds wamempa hiyo promo bure? Hiyo ni biashara, management ya Kiba wamelipia, kiasi kwamba msanii yeyote akilipa naye anafanyiwa hivyo. Lakini pia hakuna msanii aliyekuwa anapewa promo na mawingu kama Mondi! Mbona wakati huo hakukua na lialia kama hii?Wimbo tokea jana unapiga Mark time pamoja na promo ya masaa 18 CMG,wamelipia promo insta lkn limegoma,ngoja tuangalie labda Mange ataokoa jahazi na wafuasi wake waliomsaliti kipindi kile cha maandamano
kumbe kweli kuna figisu? dah kazi ipo!Naona kashtakiView attachment 776459