Je, Wazazi mnayajua wanayofanya mabinti zenu wawapo vyuoni?

Ww ndo narrow minded yaan kigezo umeona ni mabinti ambao hawashiriki shughuli za nyumban ndio hao wanawekwa kinyumba vyuoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ningeweka hizo details zote unazoziongelea huu uzi unafikiri hata wew ungeusoma! Kwanini niweke uzi mrefu uliojaa maelezo yasiyo kua lengo kuu!? Kama lengo kuu limeongelewa hayo mengine kwa ufaham wako wa kawaida na degree yako hyo ya maendeleo ya jamii ungelewa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ningeweka hizo details zote unazoziongelea huu uzi unafikiri hata wew ungeusoma! Kwanini niweke uzi mrefu uliojaa maelezo yasiyo kua lengo kuu!? Kama lengo kuu limeongelewa hayo mengine kwa ufaham wako wa kawaida na degree yako hyo ya maendeleo ya jamii ungelewa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
watu bwana asa huon hapa degree ya maendeleo ya jamii ndo mahala pake?mtu mwenyew umesoma elimu ya kuungaunga had ukafikia hyo degree af yo here insulting people

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakera sana ,mm sitaoa mwanamke yoyote aliye toka chuoni kama sina taarifa zake za kutosha, ,bora yule aliye chapwa siku moja moja kuliko yule aliye ishi na njemba kabisa

Ndo maana mabinti wanamaliza elimu zao wanakosa Watu wa kuishi nao
hii ni mbaya sana, yani ushajiwekea kwamba binti anaesoma chuo ni mchafu kitu ambacho sio kweli.

mbona hata hao wa mtaani (wasiosoma chuo/shule) wanaishi maisha hayo ya mke na mume na baada ya muda fulani wanaachana.

huko mavyuoni watu wanaendeleza na kufanya mambo yao kwa uhuru lakini hizo tabia wanatokanazo makwao, mbona wapo watu smart sana huko vyuoni mnaposemea.
 
It seems ulivyoipata hyo degree yako ukajua ndo kila kitu nmekueleza nasubiri udahili nkachukue shahada ya pili yaan ntakua na hizo degree unazoulizia mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimesoma ktk Chuo kikuu cha kwanza hapa Tanzania... tena Degree yangu ni 4yrs course

Mkuu nahisi unaweza ona namna IQ zetu zinaweza kua zimetofautiana sana! Kwani wew ni me au ke? Kama ni ke umewekwa geto miaka mingapi ukiwa undergraduate! Umetoa mimba ngapi? Why r u taking this thread too personal!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha yo ni machache kuna mengi Maovu yanayofanyika Huko wazazi inabidi wawe makini. kuna dogo tunataka tumuweke kikao maana nahisi yule alikuwa anakaa dangulo, kamaliza chuo hataki kurudi nyumbani anasema anayamudu maisha Hana kazi,wala biashara 😨😨😨😨😨😨😨😨 na vyuma vilivyo kaza hivi Kila mtu hoii😅😅😅
 
Ha yo ni machache kuna mengi Mao u yanayofanyika Huko wazazi inabidi wawe making. kuna dogo tunataka tumuweke kikao maana nahisi yule alikuwa anakaa dangulo, kamaliza chuo hataki kurudi nyumbani anasema anayamudu maisha Hana kazi,wala biashara na vyuma vilivyo kaza hivi Kila mtu hoii
Fanya surprise anapokaa au tafuta marafiki zake watakwambia. Ila mtu akimaliza chuo ni mtu mzima kimaamuzi.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Fanya surprise anapokaa au tafuta marafiki zake watakwambia. Ila mtu akimaliza chuo ni mtu mzima kimaamuzi.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Unadhani anakubali kumpeleka MTU, ni kweli mtu akimaliza chuo ni mtu mzima kimaamuzi lakini binti wa miaka 23 hataki kuwaambia ndugu zake na familia shughuli inayomuweka mjini Kama mzazi inauma subiri uwe mzazi mtoto wako afikie stage hii ndio utajua maharage ni mboga au futari!!!!!
 
Mkuu ningeweka hizo details zote unazoziongelea huu uzi unafikiri hata wew ungeusoma! Kwanini niweke uzi mrefu uliojaa maelezo yasiyo kua lengo kuu!? Kama lengo kuu limeongelewa hayo mengine kwa ufaham wako wa kawaida na degree yako hyo ya maendeleo ya jamii ungelewa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu achana naye huyo.Binafsi nilipokua mwaka wa 2 nilimfanyia mpango mdogo wangu wa kike asome certificate hapo hapo naposoma nilikua nammegea boom Kama ada yake na alikua hostel Mimi gheto.

Familia ilituambia dada mtu awe anakuja gheto anapika kwangu anakula na kusepa hostel.kuna siku zikawa zinapita simuoni kwangu na chuoni haonekani ,wenzie napishana nao yeye sipishani naye .nilimfatilia usiku hostel kwake nikaambiwa halali hostel.Aisee nilipata shida Sana nilifikiria hatima yake ya kielimu mbeleni na hata maisha yake yatakuaje ?Niliamua kumsaka hadi nilipompata baada ya siku 3 huku nilishatoa taarifa nyumbani,nilimkanya Sana na kumtishia nitampiga na sitomlipia ada but usiku nilianza kupokea vitisho kutoka kwa mwanaume nilipambana naye bado kidogo tulitaka kuzichapa kwa kua nilikua na hasira Sana alikimbia.baadae familia iliamua kumrudisha nyumbani.

Leo miaka 2 wale niliokua nasoma nao Jobless hata Yule mwanaume hana kazi..Sasa Kama mdogo wangu angepata mimba sijui angelea vipi na maisha haya magumu ?

Maisha ya chuo kwa watoto wa kike hatari Sana na Mara nyingi ndoa zao hazidumu baada ya kumaliza chuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom