Je, Wazazi mnayajua wanayofanya mabinti zenu wawapo vyuoni?

the_forum

JF-Expert Member
Apr 28, 2017
774
1,000
Habari zenu wana JF,

Leo nimeona nilete bandiko lenye kichwa hiko cha habari hapo juu...

Kwa kuanza napenda kueleza kuwa binafsi nimebahatika kusoma katika taasisi tofauti za elimu ya juu na katika mikoa tofauti... nikimaanisha College kwa ajili ya diploma na University kwa ajili ya bachelor degree katika mikoa miwili tofauti...

Katika mazingira hayo nimeshuhudia mabinti kwa asilimia kubwa wakifanya mambo ya kusikitisha katika miaka yao yote vyuoni...binti ambae akiwa nyumbani hataki kusaidia kazi ndogo ndogo za nyumbani, basi akiwa chuoni anakaa chumba kimoja kama mume na mke na kijana wa kiume au hata mtu mzima kwa miaka yote anapokua chuo

Zaidi ya hapo anafanya kazi zote za hapo getoni...anapika anafua nguo zake na za mumewe, anafanya usafi wa geto lakini pia anatoa unyumba kila siku kwa sababu wanalala kitanda kimoja!

Bahati mbaya binti akiwa nyumbani hafanyi na hataki hata kuosha kikombe chake alichonywea chai yeye mwenyewe....na hii ni asilimia kubwa sana ya mabinti wanaishi hivi wakiwa vyuoni.

Wazazi tafakarini na muongee na watoto zenu wakike wanaosoma chuo mjue uhalisia wa maisha yao wanapokua vyuoni.

NB: Kila nikiwaza hivi napata jawabu kwanini ndoa zimekua ngumu sana siku hizi. Mabinti wamekuwa wakianza maisha ya ndoa kabla ya muda wake hvyo wanapata experience ambayo ni ya uongo kuhusu ndoa...na hili ni tatizo. Zaidi ni kiasi cha mimba ambazo mabinti wanazitoa katika kipindi cha miaka ya chuo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu wakimaliza chuo kila mmoja anakwenda kivyake .Mwanamke anakuja kwako umuowe akati alisha ishi miaka 3 na njemba ndani


Kuna haja kubwa sana ya wazazi kuwafuatilia watoto wao wawapo chuoni

Saa nyingine kwenye maisha unapokosa mtu wa kukukemea inakuwa tabu sana ,,pia unapo toka kwenye imaya ya kukemewa na haujakomaa vizuri kiakili ,inakuwa pia tabu sana
 
......Sidhani wanajua pia kuwa vidume vyao vinajifanyaga faza house vikiwepo chuo. Vinafikia hadi kuhama hostel na kuingia kitaa ambako wanaishi kabisa na watoto wa watu na kuwapachika hadi mimba.

Ipo haja ya wazazi kujihususha zaidi na maisha ya watoto wao.
Ni kweli mkuu,wazazi wanakosa mda wa kutosha na watoto hasa wakifika ktk ngazi hii ya chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu wakimaliza chuo kila mmoja anakwenda kivyake .Mwanamke anakuja kwako umuowe akati alisha ishi miaka 3 na njemba ndani


Kuna haja kubwa sana ya wazazi kuwafuatilia watoto wao wawapo chuoni

Saa nyingine kwenye maisha unapokosa mtu wa kukukemea inakuwa tabu sana ,,pia unapo toka kwenye imaya ya kukemewa na haujakomaa vizuri kiakili ,inakuwa pia tabu sana
Mkuu mtoto katafunwa miaka yote ya chuo (3,4,5) afu akitoka hapo anapaswa kuolewa duh! Mana chuo kikiisha na hyo ndoa ya chuo ndo hua imevunjika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana JF,leo nmeona nilete bandiko lenye kichwa hiko cha habari hapo juu...

Kwa kuanza napenda kueleza kua,binafsi nmebahatika kusoma ktk taasisi tofauti za elimu ya juu na katika mikoa tofauti... nikimaanisha College kwa ajili ya diploma na University kwa ajili ya bachelor degree,katika mikoa miwili tofauti...

Katika mazingira hayo nimeshuhudia mabinti katika asilimia kubwa wakifanya mambo ya kusikitisha katika miaka yao yote vyuoni...binti ambae akiwa nyumbani hataki kusaidia kazi ndogo ndogo za nyumbani,basi akiwa chuoni anakaa chumba kimoja kama mume na mke na kijana wa kiume au hata mtu mzima kwa miaka yote anapokua chuo,zaidi ya hapo anafanya kazi zote za hapo getoni...anapika anafua nguo zake na za mumewe,anafanya usafi wa geto lakini pia anatoa unyumba kila siku kwa sababu wanalala kitanda kimoja! Bahati mbaya binti akiwa nyumbani hafanyi na hataki hata kuosha kikombe chake alichonywea chai yeye mwenyewe....na hii ni asilimia kubwa sana ya mabinti wanaishi hivi wakiwa mavyuoni.

Wazazi tafakarini na muongee na watoto wenu wakike wanaosoma chuo mjue uhalisia wa maisha yao wanapokua vyuoni.

NB: kila nikiwaza hivi napata jawabu kwanini ndoa zimekua ngumu sana skuiz,mabinti wamekua wakianza maisha ya ndoa kabla ya muda wake hvo wanapata experience ambayo ni ya uongo kuhusu ndoa...na hili ni tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, lakini umejuaje kuwa manito hawataki kufanya kazi za nyumbani wakiwa nyumbani kwao?
 
Utashangaa unaoa mtoto katokea chuo,kama kafanya kitu kibaya ukamuwashia mziki utasikia,mbona wanaume wenzako hawako/hawafanyi hivyo?unabaki kujiuliza huyu kajuaje haya mambo...!
Halafu wakimaliza chuo kila mmoja anakwenda kivyake .Mwanamke anakuja kwako umuowe akati alisha ishi miaka 3 na njemba ndani


Kuna haja kubwa sana ya wazazi kuwafuatilia watoto wao wawapo chuoni

Saa nyingine kwenye maisha unapokosa mtu wa kukukemea inakuwa tabu sana ,,pia unapo toka kwenye imaya ya kukemewa na haujakomaa vizuri kiakili ,inakuwa pia tabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mtoto katafunwa miaka yote ya chuo (3,4,5) afu akitoka hapo anapaswa kuolewa duh! Mana chuo kikiisha na hyo ndoa ya chuo ndo hua imevunjika.

Sent using Jamii Forums mobile app


Inakera sana ,mm sitaoa mwanamke yoyote aliye toka chuoni kama sina taarifa zake za kutosha, ,bora yule aliye chapwa siku moja moja kuliko yule aliye ishi na njemba kabisa

Ndo maana mabinti wanamaliza elimu zao wanakosa Watu wa kuishi nao
 
64 Reactions
Reply
Back
Top Bottom